Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 12,746
- 37,434
Muda wa kukiwasha sio😅
Muda wa kukiwasha sio😅
Wamepekechana weee mpaka kila mmoja kakiwasha😆Maandalizj yote yameshakamilika😀🥸
Aanhh tabu yote yanini! Watakuwa hawana ustadi hao😀Mmoja anatafuta feni.. Mwingine anatafuta barafu😀
Jichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!! 😹😹😹anayesemaga hivo ni Lamomy
😁😁😁basi ngoja niendelee ku zoomJichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!! 😹😹😹
Kulikuwa na figo humu alikuwa anatupia picha Beyonce akasome, kumbe kidume cha mbegu. Niko nimekaa paleeeeee.
Huu Uzi naujua mwanzo mwisho na sisi ndo wachachuaji na wambea wakuu wa huu uzi. Tukiuamulia JF majukwaa yote yanahamiaga humu upo nyonyo? 👌😹😹
Kaa kwa password utauponza..!! 😹😹😁😁😁basi ngoja niendelee ku zoom
Jichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!!
Kulikuwa na figo humu alikuwa anatupia picha Beyonce akasome, kumbe kidume cha mbegu. Niko nimekaa paleeeeee.
Huu Uzi naujua mwanzo mwisho na sisi ndo wachachuaji na wambea wakuu wa huu uzi. Tukiuamulia JF majukwaa yote yanahamiaga humu upo nyonyo?![]()



Nimejikuta nimecheka🤣🤣🤣,mtu unasamehe Hadi kula kisa Uzi huu😷🙌Jichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!! 😹😹😹
Kulikuwa na figo humu alikuwa anatupia picha Beyonce akasome, kumbe kidume cha mbegu. Niko nimekaa paleeeeee.
Huu Uzi naujua mwanzo mwisho na sisi ndo wachachuaji na wambea wakuu wa huu uzi. Tukiuamulia JF majukwaa yote yanahamiaga humu upo nyonyo? 👌😹😹
hivi yule figo kumbe alikua njemba? nimelia sana😭😅,,,Jichanganye km hujakutana na bichwa komwe. JF ni kichaka…!! 😹😹😹
Kulikuwa na figo humu alikuwa anatupia picha Beyonce akasome, kumbe kidume cha mbegu. Niko nimekaa paleeeeee.
Huu Uzi naujua mwanzo mwisho na sisi ndo wachachuaji na wambea wakuu wa huu uzi. Tukiuamulia JF majukwaa yote yanahamiaga humu upo nyonyo? 👌😹😹
Nimejikuta nimecheka,mtu unasamehe Hadi kula kisa Uzi huu
![]()



Wee ni... Afu umekuja na I'd mpya, Lol


ila JF, woiiiih.
Ila uzi uliibeba JF huu, Ban zinatembea km njugu, na watu hawajari wala nini.
Lol.
Me nani? 😂🤣Wee ni... Afu umekuja na I'd mpya, Lol
ila JF, woiiiih.