Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,511
- 235,218
Sawa akhsante[emoji23]Huyu mkuu Shimba Ya Buyenze nahisi tumepishana kidogo[emoji3]
Wote watoto wa 90 naa.
Sawa akhsante[emoji23]Huyu mkuu Shimba Ya Buyenze nahisi tumepishana kidogo[emoji3]
[emoji38]Hahahahaahahahaha
Sio kwa wewe mdogo wangu. Hivyo vitu mimi na wewe sio angle zetu
Hupendi kucha ndefu?
Ahaaa kumbe ni 90s basi nimemuacha mbali sanaSawa akhsante[emoji23]
Wote watoto wa 90 naa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahaaa kumbe ni 90s basi nimemuacha mbali sana
Mkuu unaniconvice nihamishie majeshi kwake![emoji3]Msafi sana huyu binti…
Kusema kweli bageshi ongeza msosi kidogo. Si kwa wembamba huu japo inasemekana nyie wembamba wa hivi mnapendwa sana na mabinti na hasa ma Yutong....[emoji16][emoji16][emoji16]Na mimi nitanenepa na kuwa na tumbo/kitambi cha kufutia simu.
HAPPY SABATH DAY SAINTSView attachment 2047849
nimescreen shot nikavimbe kwa mama nimeitwa handsome.Handsome[emoji7]
Hahah!nimescreen shot nikavimbe kwa mama nimeitwa handsome.
Last born wangu yuko 42. Jipime hapo. We si ajabu mjukuu wangu wa mbaaaliii!Huyu mkuu Shimba Ya Buyenze nahisi tumepishana kidogo[emoji3]
Zamani kwa maelezo yako hapa ningesema umenipiga chenga ya mwili 😄😄, anyways fanya unitumie saivi nikuwekee na ya kutolea. Maji nimeyavulia nguo ......Asante.
Ngoja kesho nitaongea na wakala utumie namba yake ili nichukue hela nzimanzima bila makato.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
4[emoji4]5[emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23]Last born wangu yuko 42. Jipime hapo. We si ajabu mjukuu wangu wa mbaaaliii!
Na ya kutolea eeh??[emoji847]Zamani kwa maelezo yako hapa ningesema umenipiga chenga ya mwili [emoji1][emoji1], anyways fanya unitumie saivi nikuwekee na ya kutolea. Maji nimeyavulia nguo ......
Mkuu unaniconvice nihamishie majeshi kwake![emoji3]
Ila utakuwa kilabuni[emoji2356][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante Anna imetosha ubarikiwe.Hahah!
Kiukweli wewe handsome na una damu nzuri kali,,umewagawia na wanao.
Kuna kitu ameniboa babe ValentinaValentina atakukata kichwa mkuu [emoji12][emoji12][emoji12]
Ha ha karibu vyomboTupige vyombo[emoji7]View attachment 2047798
Kilabuni ndio wapi?Ila utakuwa kilabuni[emoji2356]