Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hahahahaahahahaha
Sio kwa wewe mdogo wangu. Hivyo vitu mimi na wewe sio angle zetu

Hupendi kucha ndefu?
Ahaaa kumbe ni 90s basi nimemuacha mbali sanaSawa akhsante
Wote watoto wa 90 naa.
Mkuu unaniconvice nihamishie majeshi kwake!Msafi sana huyu binti…

Kusema kweli bageshi ongeza msosi kidogo. Si kwa wembamba huu japo inasemekana nyie wembamba wa hivi mnapendwa sana na mabinti na hasa ma Yutong....Na mimi nitanenepa na kuwa na tumbo/kitambi cha kufutia simu.
HAPPY SABATH DAY SAINTSView attachment 2047849



nimescreen shot nikavimbe kwa mama nimeitwa handsome.Handsome![]()
Hahah!nimescreen shot nikavimbe kwa mama nimeitwa handsome.
Last born wangu yuko 42. Jipime hapo. We si ajabu mjukuu wangu wa mbaaaliii!Huyu mkuu Shimba Ya Buyenze nahisi tumepishana kidogo![]()
Zamani kwa maelezo yako hapa ningesema umenipiga chenga ya mwili 😄😄, anyways fanya unitumie saivi nikuwekee na ya kutolea. Maji nimeyavulia nguo ......Asante.
Ngoja kesho nitaongea na wakala utumie namba yake ili nichukue hela nzimanzima bila makato.
Last born wangu yuko 42. Jipime hapo. We si ajabu mjukuu wangu wa mbaaaliii!



Na ya kutolea eeh??Zamani kwa maelezo yako hapa ningesema umenipiga chenga ya mwili, anyways fanya unitumie saivi nikuwekee na ya kutolea. Maji nimeyavulia nguo ......

Mkuu unaniconvice nihamishie majeshi kwake!![]()



Ila utakuwa kilabuni

Asante Anna imetosha ubarikiwe.Hahah!
Kiukweli wewe handsome na una damu nzuri kali,,umewagawia na wanao.
Kuna kitu ameniboa babe ValentinaValentina atakukata kichwa mkuu![]()
Ha ha karibu vyomboTupige vyomboView attachment 2047798
Kilabuni ndio wapi?Ila utakuwa kilabuni![]()