Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nibariki na picha yako nyingine
20211217_173310.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamani yameanza hapa[emoji34],nahisu wiki yangu ya pili ishatimia leo,

Maana nilizurula sana,
Hata mimi juzi nilikuwa nashangaa wanaoumwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nitakuja kesho mkuu[emoji23]

Usiku sasahivi siwezi kutoka,,,watahisi covid imenipanda kichwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] poaa kesho hiyo...ila jitahidi utoke toke usiku uzoee dunia na wakazi wake
 
[emoji23][emoji23][emoji23] poaa kesho hiyo...ila jitahidi utoke toke usiku uzoee dunia na wakazi wake
Dah na hivi bimkubwa anakuja[emoji38]
Nikitoka usiku wataniuwa.


Tufanye kesho mchana[emoji120][emoji120]
Masaki sijawahi kufika,sielewi hata napanda daladala gani kuja huko.
 
Back
Top Bottom