Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata mimi juzi nilikuwa nashangaa wanaoumwa.
Siyo utani,maana wiki iliyopita sister katoka job,kavua zake nguo mie nikazikusanya,akaniambia nisiziguse kashinda job kuhudumia mgonjwa was corona

Kimbembe kwake sasa,hazikupita siku mbili,alikuwa anakohoa,mafu,mwili kuchemka,kutokuwa na hamu ya kula,vipimo wakamwambia Hana homa
 
Utasikia nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya Muungano; kiitikio "..kazi iendeleee"
IMG_20211217_160519_636.jpg
 
Siyo utani,maana wiki iliyopita sister katoka job,kavua zake nguo mie nikazikusanya,akaniambia nisiziguse kashinda job kuhudumia mgonjwa was corona

Kimbembe kwake sasa,hazikupita siku mbili,alikuwa anakohoa,mafu,mwili kuchemka,kutokuwa na hamu ya kula,vipimo wakamwambia Hana homa
Mimi ilianza koo wiki nzima linanikereketa.

Jana kitu kilivyo jibu nikasema tayari
Kwa jinsi ninavyozoa jasho la watu kwenye daladala kuumwa ni halali yangu.
 
Back
Top Bottom