Siyo utani,maana wiki iliyopita sister katoka job,kavua zake nguo mie nikazikusanya,akaniambia nisiziguse kashinda job kuhudumia mgonjwa was coronaHata mimi juzi nilikuwa nashangaa wanaoumwa.![]()

Unajua ule mkono wake sio mchezo!!Nilichanganya madesa kidogo. Nilifikiri unamwongelea mjukuu wangu. Nilipong'amua kosa langu nimerudi na kurekebisha post yangu...
Yote kwa yote nakushauri uepuke makofi ya aina yo yote mpaka utakapopona sawasawa![]()















A wapi..Enheee nipatie coz nimemuelewa sana
Halafu Depal kasema hataki mazoea na wewe nkoyiHahaha....Ogodakaga gonitaja onkima one nyanda?




Unanibania my exA wapi..
Mimi nimekushindwa,halafu nikamtupie wifi yangu matatizo!

Mimi ilianza koo wiki nzima linanikereketa.Siyo utani,maana wiki iliyopita sister katoka job,kavua zake nguo mie nikazikusanya,akaniambia nisiziguse kashinda job kuhudumia mgonjwa was corona
Kimbembe kwake sasa,hazikupita siku mbili,alikuwa anakohoa,mafu,mwili kuchemka,kutokuwa na hamu ya kula,vipimo wakamwambia Hana homa





Nampenda wifiUnanibania my ex![]()
Yaani sister akaniambia job kwao wametangaziwa corona imeanza upyaaa,Mimi ilianza koo wiki nzima linanikereketa.
Jana kitu kilivyo jibu nikasema tayari
Kwa jinsi ninavyozoa jasho la watu kwenye daladala kuumwa ni halali yangu.
Duuh yaani kwamba Fela Kuti ndiyo baba yake Burna Boy
Sawa namhala....Okwijaga mihayo noyi! Ngoja tuache kulonga kiSUkuma tutaudhi watu hasa Depal
Sawa my exNampenda wifi
We hunambii kitu, nilishawahi kujichanganya nikaingia kwenye anga zao! Kilichonikoa ni mbio zangu!! Maana nilichomoka Usain Bolt anasubiri!unaogopa,wala usiogope
![]()















Kwani Mtakatifu alitaka Jack Palladino aache Vyombo kwa siku moja? Hata Yesu Mwenyewe alifanya kazi ya kuhubiri kwa miaka 3, Yeye mwaka tu alitaka kuona matokeo Chanya?Nadhani shida yao kubwa ni kwenye kupiga vyombo. Hawako compatible![]()
Mzee wa assists za kimataifaNampenda huyu dogo jamani
Kako vizuri mno.


Pambana na bebe wakoSawa my ex
Hahaha....Hawezi kusema hivyo huyo mtoto mzuri DepalHalafu Depal kasema hataki mazoea na wewe nkoyi![]()
Unataka kusema hata assist za Bukayo Saka hujawahi kuvutiwa nazo?Mzee wa assists za kimataifa![]()
Dogo siyo mchoyoMzee wa assists za kimataifa![]()