Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ndefu siziweziHupendi kucha ndefu?
Vifupi ndo naviweza maana kucha ndefu zahitaji usafi kila siku .
Ndefu siziweziHupendi kucha ndefu?
Ila wewe bado kijana mdogo utarecover fastIlete basi
Bwana mdogo wewe;
Siku ile ulitoa kauli ya hovyo kuwa eti kwa jinsi unavyoandamwa na walimwengu hutegemei kuishi maisha marefu. Sikuipenda kauli hiyo na niliikemea hapo hapo. Na leo nakwenda kinyume na kauli hiyo tena; na natamka hadharani hapa kwamba katika jina la Yesu Aliye Hai utaishi maisha marefu mpaka uone watoto, wajukuu na vilembwe vyako.
Furahia birthday yako kwa amani na Mungu Akusimamie na kukuongoza daima.
Amen![]()
Ooh sawaNdefu siziwezi
Vifupi ndo naviweza maana kucha ndefu zahitaji usafi kila siku .
Lete dawa hiyo.Ila wewe bado kijana mdogo utarecover fast

Acha kuwaza makofi utadhoofisha immune system yako bure kha!Nahisi kama huo mkono wako ukinipiga kofi nitazimia wiki!![]()


Mimi mzee mzima nikiipata itanisumbuaLete dawa hiyo.
Au unaogopa na wewe utaipata?![]()

Unaoshaga hata vyombo kweli? Mbona mikono laini namna hii?

Inakupataje na dawa unayo?Mimi mzee mzima nikiipata itanisumbua![]()



Kwanza namuogopa kama huyo ndio mjukuu wako na mkono huo!! Sina shida nae. Nilikuwa naongelea yale makofi ya mahaba! Sio ya penzi korofiHey...
Be careful now. Mjukuu wangu akupige kofi ili iweje? Katika mazingira gani? Mtu mwenyewe unaumwa. Ukipigwa hilo kofi halafu ukazirai mazima itakuwaje? Au ndo unataka utubambikie kesi?
Acha kuwaza makofi utadhoofisha immune system yako bure kha!![]()


















Mimi naiona migumu yaani maana kuna watu nawafahamu mikono yao ni laini kuliko wangu .Unaoshaga hata vyombo kweli? Mbona mikono laini namna hii?![]()
Niliamini hii ni dawa ya kweli pale nilipoona watu wangu wa karibu wanaumwa mimi siumwi.Inakupataje na dawa unayo?
Leo umekuwa mzee???
Basi hadi mimi ni mzee.
IMEKUWA KATIKA JINA LA YESU.






Ebu nipe na mimi hiyo dawa basiNiliamini hii ni dawa ya kweli pale nilipoona watu wangu wa karibu wanaumwa mimi siumwi.
Mimi umri umeenda sana my ex
.


Yuuu! Naghubhona! Hujambo lakiniNa mimi nitanenepa na kuwa na tumbo/kitambi cha kufutia simu.
HAPPY SABATH DAY SAINTSView attachment 2047849
Huyu mkuu Shimba Ya Buyenze nahisi tumepishana kidogoEbu nipe na mimi hiyo dawa basi.
Jack mtoto wa juzi unajiona mzee
Na wazee wetu sijui wasemeje!

Hahahahaahahahaha
Hii ni starter tu ,nina bia hapa za kutosha.
Nyuki wote watakimbia.
Nilichanganya madesa kidogo. Nilifikiri unamwongelea mjukuu wangu. Nilipong'amua kosa langu nimerudi na kurekebisha post yangu...Kwanza namuogopa kama huyo ndio mjukuu wako na mkono huo!! Sina shida nae. Nilikuwa naongelea yale makofi ya mahaba! Sio ya penzi korofi
![]()
