Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMEKUWA KATIKA JINA LA BWANA.
Bwana mdogo wewe;

Siku ile ulitoa kauli ya hovyo kuwa eti kwa jinsi unavyoandamwa na walimwengu hutegemei kuishi maisha marefu. Sikuipenda kauli hiyo na niliikemea hapo hapo. Na leo nakwenda kinyume na kauli hiyo tena; na natamka hadharani hapa kwamba katika jina la Yesu Aliye Hai utaishi maisha marefu mpaka uone watoto, wajukuu na vilembwe vyako.

Furahia birthday yako kwa amani na Mungu Akusimamie na kukuongoza daima.

Amen [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Nahisi kama huo mkono wako ukinipiga kofi nitazimia wiki! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Acha kuwaza makofi utadhoofisha immune system yako bure kha! [emoji16]

Subiri upone kwanza [emoji16]
 
hibiscus green tea
IMG_20211217_195219_edit_26611616805832.jpg
 
Hey...

Be careful now. Mjukuu wangu akupige kofi ili iweje? Katika mazingira gani? Mtu mwenyewe unaumwa. Ukipigwa hilo kofi halafu ukazirai mazima itakuwaje? Au ndo unataka utubambikie kesi?

Acha kuwaza makofi utadhoofisha immune system yako bure kha! [emoji16]
Kwanza namuogopa kama huyo ndio mjukuu wako na mkono huo!! Sina shida nae. Nilikuwa naongelea yale makofi ya mahaba! Sio ya penzi korofi [emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
IMEKUWA KATIKA JINA LA YESU.

Amen[emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Halafu Mama Mchungaji. Hebu kata mzizi wa fitina. Kuna siku kweli utaselfika hapa au ni miyeyusho tu deile?

Kusema kweli tumevumilia tumechoka sasa. Kama vipi weka tu hata picha za vichaka na swimming pools za Nguzo Camp zitatosha [emoji51][emoji51][emoji51]
 
Kwanza namuogopa kama huyo ndio mjukuu wako na mkono huo!! Sina shida nae. Nilikuwa naongelea yale makofi ya mahaba! Sio ya penzi korofi [emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Nilichanganya madesa kidogo. Nilifikiri unamwongelea mjukuu wangu. Nilipong'amua kosa langu nimerudi na kurekebisha post yangu...

Yote kwa yote nakushauri uepuke makofi ya aina yo yote mpaka utakapopona sawasawa [emoji16]
 
Back
Top Bottom