Selfika na JF: Snap it. Show it

Alsaedy wa hovyo tu..basi ni vile analilazimisha tu kulipeleka lile gari.

Halina ulakshari wowote mule ndani

Basi ni vile ukipanda inabidi uungane nao kupambana na mengine.
 
Hii seat sijawahi kuipata tangu nianze kusafiri.


Ngoja nijaribu kukata tiketi wiki 2 kabla ya safari,huwenda nikaipata.
Mimi kukata ticket week kabla ya safari ndiyo tabia yangu labda nipate safari ya dharura na kama safari ni ya dharura huwa situmii basi. Nina allergy na seat za nyuma na nikikosa za mbele huwa natamani hata kulia maana najua safari yangu itaboa tu.

Pale mbele huwa napenda sana company ya wale makonda kwa mfano kwenye mabasi kama Sauli unakuta kuna makonda wengi wengine hadi wanakaa chini pembeni kabisa ya dereva. Basi huwa naenjoy kweli wanavyochangamsha genge na story zao.
 
Hii seat sijawahi kuipata tangu nianze kusafiri.


Ngoja nijaribu kukata tiketi wiki 2 kabla ya safari,huwenda nikaipata.
Hujawahi kukaa kwenye hii Siti km Yule Bibi abiria wa mbagala-gongo la mboto aliposhangilia Ile siku amepata Siti tena ya mbele,Ila abiria wakamwambia Bibi samahani hiyo Siti uliyokaa ni ya Dereva 😅.Bibi alichoka na kulaani sn kusikia hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…