Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Kilugha hiki pelekeni PM sasa...mukazi wangeTewali problem mwami wange sintekako chiface!



Kilugha hiki pelekeni PM sasa...mukazi wangeTewali problem mwami wange sintekako chiface!



Nguzo Camp unakufahamu mkuu? Pazuri sana pale kupumzikia....Weka hata za kule Nguzo Camp madam

Hahaaa si wameamua kuwalipizia na ninyi wasukumaHalafu na kilugha kimezidi. Kinyankore si Kinyankore, Kiganda si Kiganda, Kinyaturu si Kinyaturu, Kiha si Kiha....kha!


Wasukuma sisi huwaga ni salamu tu (wabeja nkamu, ndagafijo basi tunamaliza). Hawa sasa mbebishano mzima siku tatu sasa non stop. JizaziHahaaa si wameamua kuwalipizia na ninyi wasukuma![]()

Safiri salama...


Asanteeee!!!Safiri salama...
Usisahau maparachichi ukirudi![]()




Pametulia sana pale mahali mkuu, napafahamu kupitia kwa mama mchungajiNguzo Camp unakufahamu mkuu? Pazuri sana pale kupumzikia....![]()
Tugawane utamu mkuu





Nkamu leo umetembelea uzi wetu pendwaTugawane utamu mkuu


Dah siamini nimetoboa hadi asubuhi
Mungu ni mwema wakati wote
Good morning selfika.
Ngoja nije na masimbi !Nkamu leo umetembelea uzi wetu pendwa
Tunaomba uselfike.
Hata mimi huwa naitumia kujibu pm tu.Kwa pm iko vyed kabisa
Kuna kipindi app ilizingua upande wangu nikaomba msaada kwa Max akanielekeza kudowlod hiyo jf mpya kwa browser mweeh nilivo na kichwa kizito nikabaki kuona maruwe ruwe
Nikafanikiwa kudowlod hatimae, ila kwenye kuitumia sasa..... Cha
Nikaona tabu yote yanini nikajipoteza jf
Ila nashkuru now app imerejea fresh ile browser natumia mara chache sana hasa kwenye kujibia pm

EwaaaNgoja nije na masimbi !
Ha ha haaa,kwel mbeya halisi hiiEwaaa
Selfika nayo...
Na ndunye
Na matakapela
Na ndofani