Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja tukaione Mbeya ya kina Saint Anne
20211217_050111.jpg
 
Nguzo Camp unakufahamu mkuu? Pazuri sana pale kupumzikia....
Pametulia sana pale mahali mkuu, napafahamu kupitia kwa mama mchungaji
Kuna wakati nilikua na kazi ya kama wiki hivi Morogoro nikaingia jf kucheck mahali pazuri Moro nikakjtana na maelezo mazuuri ya Nguzo camp kutoka kwa Heaven Sent
Hakika sikujuta
 
Kwa pm iko vyed kabisa

Kuna kipindi app ilizingua upande wangu nikaomba msaada kwa Max akanielekeza kudowlod hiyo jf mpya kwa browser mweeh nilivo na kichwa kizito nikabaki kuona maruwe ruwe

Nikafanikiwa kudowlod hatimae, ila kwenye kuitumia sasa..... Cha

Nikaona tabu yote yanini nikajipoteza jf

Ila nashkuru now app imerejea fresh ile browser natumia mara chache sana hasa kwenye kujibia pm
Hata mimi huwa naitumia kujibu pm tu.

Upande wa pm app iko vibaya mno ,akina melo sijui ndio hawaioni
Inaquote message katika mpangilio mbaya mno.
 
Back
Top Bottom