Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata Mbeya hamna kitu.
Gari nililopanda wakati wa kurudi yaani ni hovyo sijapata kuona.

Kwanza walipakia abiria wengi kuzidi seat...ikawa tukifika maeneo ya kukaguliwa wanawahamisha watu kwenye coaster...wanakuja kuwapandisha tena kwa mbele.
Gari baya hata AC halina..
Sipandi tena ile gari.

Kimbembe kikaja yule konda sijui aliniona nina hela,
Eti nimepakia unga ananidai hela na wakati chini ya 25kg ni bure..
Nilizinguana naye asubuhi,,ananiambia oh basi tushushe ukapande nao ndani,nikamwambia sawa tu ushushe nikakae nao kwenye seat.
Likapakia.

Kufika mbezi ananizingua,,nikamwambia tafuta mizani tupime,,ikizidi 25kgs nakupa hela..kama vipi nenda nao tu utaniletea kituo cha polisi.
al saedy. Yupo kilombero.kilosa pia eeh
 
Tiba
IMG-20211217-WA0567.jpg
 
Hata Mbeya hamna kitu.
Gari nililopanda wakati wa kurudi yaani ni hovyo sijapata kuona.

Kwanza walipakia abiria wengi kuzidi seat...ikawa tukifika maeneo ya kukaguliwa wanawahamisha watu kwenye coaster...wanakuja kuwapandisha tena kwa mbele.
Gari baya hata AC halina..
Sipandi tena ile gari.

Kimbembe kikaja yule konda sijui aliniona nina hela,
Eti nimepakia unga ananidai hela na wakati chini ya 25kg ni bure..
Nilizinguana naye asubuhi,,ananiambia oh basi tushushe ukapande nao ndani,nikamwambia sawa tu ushushe nikakae nao kwenye seat.
Likapakia.

Kufika mbezi ananizingua,,nikamwambia tafuta mizani tupime,,ikizidi 25kgs nakupa hela..kama vipi nenda nao tu utaniletea kituo cha polisi.
Hivi Dar Lux na Rungwe yapo jamani? Enzi zile Rungwe bado inatamba, ukoo mzima wanyaki tunapanda Rungwe, ole wako ukapande bus lingine. Kuna siku karibu na Kitonga ile; sijui bus lilitaka liwake moto. Maana ilianza harufu kali ndani kama ya chemicals; ukaja moshi mzito ndani; daah kumbe nipo mwepesi vile kwenye kuruka dirishani hehehe; maisha matamu jamani mweeh.
 
Hata Mbeya hamna kitu.
Gari nililopanda wakati wa kurudi yaani ni hovyo sijapata kuona.

Kwanza walipakia abiria wengi kuzidi seat...ikawa tukifika maeneo ya kukaguliwa wanawahamisha watu kwenye coaster...wanakuja kuwapandisha tena kwa mbele.
Gari baya hata AC halina..
Sipandi tena ile gari.

Kimbembe kikaja yule konda sijui aliniona nina hela,
Eti nimepakia unga ananidai hela na wakati chini ya 25kg ni bure..
Nilizinguana naye asubuhi,,ananiambia oh basi tushushe ukapande nao ndani,nikamwambia sawa tu ushushe nikakae nao kwenye seat.
Likapakia.

Kufika mbezi ananizingua,,nikamwambia tafuta mizani tupime,,ikizidi 25kgs nakupa hela..kama vipi nenda nao tu utaniletea kituo cha polisi.
Dooh kumbe nawe mtata. Dada yangu aliwahi gombana na New Force kuhusu suala la mizigo miaka hiyo wakati inahit basi tangu alivyogombana nao akawa anawasagia kunguni tu.
 
Mimi kukata ticket week kabla ya safari ndiyo tabia yangu labda nipate safari ya dharura na kama safari ni ya dharura huwa situmii basi. Nina allergy na seat za nyuma na nikikosa za mbele huwa natamani hata kulia maana najua safari yangu itaboa tu.

Pale mbele huwa napenda sana company ya wale makonda kwa mfano kwenye mabasi kama Sauli unakuta kuna makonda wengi wengine hadi wanakaa chini pembeni kabisa ya dereva. Basi huwa naenjoy kweli wanavyochangamsha genge na story zao.
Mimi limit yangu ya kukaa ni seat no 20.
Kama gari haina hizo seat basi sikati.
 
Back
Top Bottom