Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata mimi.
Japo upande wa pm iko vizuri kuzidi app.
Kwa pm iko vyed kabisa

Kuna kipindi app ilizingua upande wangu nikaomba msaada kwa Max akanielekeza kudowlod hiyo jf mpya kwa browser mweeh nilivo na kichwa kizito nikabaki kuona maruwe ruwe

Nikafanikiwa kudowlod hatimae, ila kwenye kuitumia sasa..... Cha

Nikaona tabu yote yanini nikajipoteza jf

Ila nashkuru now app imerejea fresh ile browser natumia mara chache sana hasa kwenye kujibia pm
 
Tatizo story nyingi...hata selfie za machale

Mtandao nadhani inategemea sana na eneo. Mie yangu huwa inashika fresh haswa nikiwa home...nilishawahi kutupia speed yangu huwa inashoot mpaka 2Mbs sometimes nikiwa nadownload! So jaribu kuuliza watu waliopo karibu yako....wasipolalamika get yourself one!!!!!!
Yaani siku hizi story zimekuwa nyingi kweli kwenye huu uzi, mimi ndiyo maana siku hizi huwa sisomi comments nascroll na kulike picha tu then natambaa.

Daah wengi walio karibu yangu wanalalamika kuwa airtel vifurushi viko vizuri ila mtandao ndiyo shida, ndiyo maana bado nakosa imani ya kuingia huko rasmi.
 
Back
Top Bottom