Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

#Early risers
20211217_035411.jpg
 
Yaani siku hizi story zimekuwa nyingi kweli kwenye huu uzi, mimi ndiyo maana siku hizi huwa sisomi comments nascroll na kulike picha tu then natambaa.

Daah wengi walio karibu yangu wanalalamika kuwa airtel vifurushi viko vizuri ila mtandao ndiyo shida, ndiyo maana bado nakosa imani ya kuingia huko rasmi.
Panaboa kweli 😬😬😬😬

Basi kama ni hivyo bora u-stick to one that works. Although....you could just get one and try it out. Alafu download VPN pia...nyingine zinasaidia kuongeza speed kidogo.
 
Panaboa kweli

Basi kama ni hivyo bora u-stick to one that works. Although....you could just get one and try it out. Alafu download VPN pia...nyingine zinasaidia kuongeza speed kidogo.
Yes hapo kwenye vpn umenipa wazo zuri. Ngoja nitajaribu tu maana kila nikikuna kichwa nichague wapi kati ya TTCL Tigo au Airtel wazo linaniambia nijaribu Airtel.
 
Back
Top Bottom