Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
HalleluyaLee
Depal
cocastic
@Callius
Mjep
Relief Mirzska
Valentina
Emiir
Tinsley
mkwepu jr and others
Kumekucha huko???View attachment 2047026
HalleluyaLee
Depal
cocastic
@Callius
Mjep
Relief Mirzska
Valentina
Emiir
Tinsley
mkwepu jr and others
Kumekucha huko???View attachment 2047026
Rey mpaka maasha Allah imebidi ikutoke.
Sio kwa huo ubize aseeh!!Halleluya
Tusameheane tu jamani.Sio kwa huo ubize aseeh!!
Vizuri,, tafuta pesa uheshimike zaidi mkuu!Tusameheane tu jamani.
Hela ngumu sana nipo nakimbizana nayo. Inanyesha huko???
Ndio nipo kupambana huku mitaa ya kianga dole.Vizuri,, tafuta pesa uheshimike zaidi mkuu!
Hainyeshi.
Hakika utafanikiwa rafiki Mungu ni mwema!Ndio nipo kupambana huku mitaa ya kianga dole.
AMEN.Hakika utafanikiwa rafiki Mungu ni mwema!
Amen amen!AMEN.
Na ijumaa hii nasema AMEN
Sina uhakika sana kama ni homa tu maana kirusi hichi kipya kimesambaa sana,Ni Omicron au ni wimbi la homa tu linapita? Mungu na Atusaidie![]()
Jumaa al maqbool!Amen amen!
Jumaa Kareem rafiki!!
🤣🤣🤣🤣🤣 mukazi gwe wanooo ....?Wee kilugha chanini! Kunya anye bata sio ?Wee Fanya kuselfika tu vingine si vya muhimu kuvijua!!
Tibayagala mukwano! Tekako echifanani Cha lwalelo!🤣🤣🤣🤣🤣 mukazi gwe wanooo ....?
Pametulia sana pale mahali mkuu, napafahamu kupitia kwa mama mchungaji
Kuna wakati nilikua na kazi ya kama wiki hivi Morogoro nikaingia jf kucheck mahali pazuri Moro nikakjtana na maelezo mazuuri ya Nguzo camp kutoka kwa Heaven Sent
Hakika sikujuta
Utakuwa ulienjoy kweli msukuma, maana hakuna misambwanda inayopitapita kule (joking)Nguzo Camp unakufahamu mkuu? Pazuri sana pale kupumzikia....![]()



Neddaa mukwanooo....😁😁😁Tibayagala mukwano! Tekako echifanani Cha lwalelo!
Weee tuyogele buana! Uli ludawa???Neddaa mukwanooo....😁😁😁
Ndiwanooo , nkwagalaaaa nyo nyoooWeee tuyogele buana! Uli ludawa???
Jumaa al MaqboolView attachment 2047093
Jumaa Mubarak