Hiyo dawa ya meno huwa ni nzuri sana ...View attachment 2046121
Hata wakisema mwanaume wa Dar poa tu, hakuna noma!!
Kujipenda hakuna mwenyewe!
Malcom unakumbuka mwaka huu kule kwenye likes nilikuomba picha?Hakuna tatizo lolote mkuu....
Yes, yaani kwa upande wangu naona Sensodyne ndio nzuri kwasasa, nikikosa hiyo huwa nachukua brand ya Himalaya.Hiyo dawa ya meno huwa ni nzuri sana ...



Ila chunguHiyo dawa ya meno huwa ni nzuri sana ...

Nikutakeje radhi na nimekuuliza au wewe Ramadhani? KY kibaoHapana mkuu, nitake radhi....kwani hatufahamiani kwasababu ya account bandia tunazotumia!!
Aaaaah, nimesahau ati......!Malcom unakumbuka mwaka huu kule kwenye likes nilikuomba picha?
Aaah, uchungu uko wapi pale!?Ila chungu![]()


















Baada ya kuzidiwa usiku ,nikasema asubuhi niende kutembea huko mjini ..kuosha osha macho .
Nimetaka kudondoka kwa watujinsi ninavyojisikia vibaya.
Mwili wote unawaka moto ukiongozwa na kichwa.
Sijui ndo corona part 3 Mungu wangu![]()
Hapana mimi sio Ramadhani, hiyo KY umeiona wapi hapo? Ulivyomaanisha ni tofauti na uhalisia ulivyo... Pole sana.Nikutakeje radhi na nimekuuliza au wewe Ramadhani? KY kibao
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Aaah, uchungu uko wapi pale!?
Mbona mint ni nzuri tu? Tatizo umetumia sana zile pipi kifua!![]()

Uliahidi kunipa.Aaaaah, nimesahau ati......!

Kwenye ubora wakooUliahidi kunipa.
Timiza ahadi sasa![]()
Uko vizuri mkuu😅.. Christmas haina stress kbsChristmass hapa inalika sasa View attachment 2046103
unataka kunigombanisha lakinLeeniache
Wewe si huwa unaninyima.
Ntakutumia mdogo wangu...Uliahidi kunipa.
Timiza ahadi sasa![]()
Lini?Ntakutumia mdogo wangu...