Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yani nimejaribu kujiangalia kwenye kioo zaidi ya mara 2 sijaona kitambi na zaidi namudu kuvaa soksi za miguu nikiwa nimesimama mguu mmoja

Nimetoka ofisi ya Waziri Mkuu sijakuta Ujumbe wowote, nimempigia simu Kalani wangu amesema hajapata barua yeyote leo wala Jana, Fanya kuutuma tena
wee mzee wa tiaraaeeeii acha utan, nenda tena kaangalie bas,
 
Ila Jamaa amezifaidi kweli

Walichoniboa baadaye wakaleta Sheria zao kupitia Mosses kuwa hutakiwi Kuzini wakati Yeye tayari alishazichakata zaidi 1,000 wakati huo mimi hata watatu sijafika

Baada ya Mosses kusema Tusizini akaja mwingine aliyepigilia msumali kwa kusema Yeyote amtazamiye Mwanamke kwa kumtamani Atakuwa Ameshazini naye . Kwa mstari huo Pekee, hapa JF hakuna atakayepona
 
Mimi namfanyia mtu vizuri ,,tena asipokuwepo wa kufanya ndo kabisa..
Akiwepo wa kufanya huwa natega.

Kikubwa nisipelekeshwe tu.
Yeah hata mimi huwa sipendi kupelekeshwa, kazi za ndani ambazo angalau napenda kufanya ni kufua na kusafisha nyumba. Kwa sababu sipendi kuvaa nguo chafu wala sipendi kukaa kwenye mazingira machafu, ila kupika na kuosha vyombo daaaah hapana kwa kweli nisiwe muongo hizo huwa nazifanya basi tu.
 
Huyo wa mwisho dah! Huwa ananimalizaga sana kwa hiyo kauli yake!

Yaani hata ukiona msambwanda unatikisika tu ukakata shingo na vimawazo vya kirijali vikakujia basi umekwisha. Kuingia mbinguni tutaingia kwa rehema tu kwa kweli
Kwa kweli huo mstari ingekuwa tunaweza kuubadili kama Katiba, Mimi ningeitisha maandamano ya kuomba tuubadili tu. Manake haiwezekani ninyimwe kuingia Mbinguni kwa kunywa mchuzi wakati Nyama sijala😂😂
 
Kumekucha
IMG_20211216_065700_358.jpg
 
Back
Top Bottom