Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Sawa
Nakununulia kwa njia ipi rahisi kwako kunywa chai leo?
njia rahisi nadhani vocha, nitakuambia itanifikiaje.
Sawa
Nakununulia kwa njia ipi rahisi kwako kunywa chai leo?
Wewe na yeye angalau mnatuwakilisha kwenye kipengele cha upole.Katika wote sisi; angalau wewe ndiyo unajitahidi kwa upole;hawa ndugu zangu wengine ni shida kwa kweli. Ingawa kwenye misimamo yako sasa; nasemaga hakika huyu ni mnyaki![]()

Usemage oyeee huku unatupia chuichuiOyeeeee

Pole sana Nkamu, nakuombea na upate nafuu mapemaView attachment 2044605
Huu Upepo wa homa ni mimi tu? sio kwa viungo kuuma hivi plus sauti kukauka
Katika wote sisi; angalau wewe ndiyo unajitahidi kwa upole;hawa ndugu zangu wengine ni shida kwa kweli. Ingawa kwenye misimamo yako sasa; nasemaga hakika huyu ni mnyaki![]()


Wadada wa Kinyaki huwa wanajiamini sana na ni kitu kizuri.
huwa nakusoma Nkamu unatoa point taratibu na utulivu ila madini tupuOh asante sana
Nitaanza kutumia instagram kwa ajili yake.
Nahisi mimi ndio wa kwanza kuugua huu ugonjwa ukoo wetu...japo ni ile ya utani utani siyo serious hata kidogo.
Nimefungua na chuichui saa 10 alfajiri
Wana Mbeya oyeee
Chuichui oyeee

Wewe na yeye angalau mnatuwakilisha kwenye kipengele cha upole.
Sisi wengine sasa mwee![]()
Good try...Upo vzr kwenye hizi mambo🖒Jack daniel
Grand Marnier
Black label
Famouse groose
ata mimi aisee,.na ninahisi baridi sanaView attachment 2044605
Huu Upepo wa homa ni mimi tu? sio kwa viungo kuuma hivi plus sauti kukauka
Wa kutoshaKumbe tupo wengi

Nimefika best.Nilipoona tu umechelewa kujibu nikajuwa tu inatèmbea.
Mtembeo mwema best
Tuseme AMENYangu haitofutwa
Katika wote sisi; angalau wewe ndiyo unajitahidi kwa upole;hawa ndugu zangu wengine ni shida kwa kweli. Ingawa kwenye misimamo yako sasa; nasemaga hakika huyu ni mnyaki![]()


na mimi umeniweka kundi la "hawa ndugu zangu wengine " jamani?Huko beach huh?!yes ipo Matema beach na siku hizi kuna lami mpaka unafika.
Habari za asubuhi mkuuNambie ELY