Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,608
- 24,195
Sawa
Nakununulia kwa njia ipi rahisi kwako kunywa chai leo?
njia rahisi nadhani vocha, nitakuambia itanifikiaje.
Sawa
Nakununulia kwa njia ipi rahisi kwako kunywa chai leo?
Wewe na yeye angalau mnatuwakilisha kwenye kipengele cha upole.Katika wote sisi; angalau wewe ndiyo unajitahidi kwa upole;hawa ndugu zangu wengine ni shida kwa kweli. Ingawa kwenye misimamo yako sasa; nasemaga hakika huyu ni mnyaki[emoji23][emoji23][emoji23]
Usemage oyeee huku unatupia chuichui[emoji23]Oyeeeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hofyooooo[emoji53][emoji53]
Pole sana Nkamu, nakuombea na upate nafuu mapemaView attachment 2044605
Huu Upepo wa homa ni mimi tu? sio kwa viungo kuuma hivi plus sauti kukauka
Katika wote sisi; angalau wewe ndiyo unajitahidi kwa upole;hawa ndugu zangu wengine ni shida kwa kweli. Ingawa kwenye misimamo yako sasa; nasemaga hakika huyu ni mnyaki[emoji23][emoji23][emoji23]
Oh asante sana[emoji120]
Nitaanza kutumia instagram kwa ajili yake.
Nahisi mimi ndio wa kwanza kuugua huu ugonjwa ukoo wetu...japo ni ile ya utani utani siyo serious hata kidogo.
Pole sana Nkamu, nakuombea na upate nafuu mapema
Nimefungua na chuichui saa 10 alfajiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana Mbeya oyeee
Chuichui oyeee
Wewe na yeye angalau mnatuwakilisha kwenye kipengele cha upole.
Sisi wengine sasa mwee[emoji1787]
Good try...Upo vzr kwenye hizi mambo🖒Jack daniel
Grand Marnier
Black label
Famouse groose
ata mimi aisee,.na ninahisi baridi sanaView attachment 2044605
Huu Upepo wa homa ni mimi tu? sio kwa viungo kuuma hivi plus sauti kukauka
Wa kutosha[emoji23]Kumbe tupo wengi
Nimefika best.Nilipoona tu umechelewa kujibu nikajuwa tu inatèmbea.
Mtembeo mwema best
Tuseme AMENYangu haitofutwa
[emoji23][emoji23][emoji23]na mimi umeniweka kundi la "hawa ndugu zangu wengine " jamani?Katika wote sisi; angalau wewe ndiyo unajitahidi kwa upole;hawa ndugu zangu wengine ni shida kwa kweli. Ingawa kwenye misimamo yako sasa; nasemaga hakika huyu ni mnyaki[emoji23][emoji23][emoji23]
Huko beach huh?!yes ipo Matema beach na siku hizi kuna lami mpaka unafika.
Habari za asubuhi mkuuNambie ELY