Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ajaribu anaweza vipata, mie huwa sitaki vitabu vya bure wizi wa kazi za waandishi hapana.. napenda kuchangia sehemu ya gharama walizo ingia pia ni kama mbengu
Mimi napenda vya bure sina hela za kununua.

Ndiyo maana nimeomba ambavyo tayari unavyo,
Bahati mbaya umesema haiwezekani kushare.


Ni kama baba anavyopelekea watoto kitabu alichonunua.
Wanakuwa hawajaiba balo wamepewa.
 
Mimi napenda vya bure sina hela za kununua.

Ndiyo maana nimeomba ambavyo tayari unavyo,
Bahati mbaya umesema haiwezekani kushare.


Ni kama baba anavyopelekea watoto kitabu alichonunua.
Wanakuwa hawajaiba balo wamepewa.
😊😊😊.. kweli ningekupatia vingekuwa vipo kwenye pdf. Napenda kununua kwasababu roho inauma nitoe hela alafu nisisome naona kama nimetupa hela
 
... na kila mtu ana principal zake za maisha.

100% Ofu kozi! Ndo maana tuko tofauti tofauti!
Screenshot_20211215-122341.jpg
 
Back
Top Bottom