Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila Jamaa amezifaidi kweli

Walichoniboa baadaye wakaleta Sheria zao kupitia Mosses kuwa hutakiwi Kuzini wakati Yeye tayari alishazichakata zaidi 1,000 wakati huo mimi hata watatu sijafika

Baada ya Mosses kusema Tusizini akaja mwingine aliyepigilia msumali kwa kusema Yeyote amtazamiye Mwanamke kwa kumtamani Atakuwa Ameshazini naye . Kwa mstari huo Pekee, hapa JF hakuna atakayepona
Huyo wa mwisho dah! Huwa ananimalizaga sana kwa hiyo kauli yake!

Yaani hata ukiona msambwanda unatikisika tu ukakata shingo na vimawazo vya kirijali vikakujia basi umekwisha. Kuingia mbinguni tutaingia kwa rehema tu kwa kweli
 
Back
Top Bottom