Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,858
Asee kweli sijawahi ona pic yako madamKwamba nimebaki mimi tu humu?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Asee kweli sijawahi ona pic yako madamKwamba nimebaki mimi tu humu?
Uliponea chupu chupu siku ile. Nilitaka nikupige laki 5 mchana kweupee! Una bahati sana!Umefufukia wapi rafiki Jana ukazingua..!!! Kweli niliwaandalia wewe na msukuma Shimba Ya Buyenze Ila mkafia timu
Kwa kweli tumechoka kusubiri kha!Kwamba nimebaki mimi tu humu?
Pole sana, ukiumwa unapendeza sana mbonaView attachment 2044605
Huu Upepo wa homa ni mimi tu? sio kwa viungo kuuma hivi plus sauti kukauka
Hapo namba moja


mpaka picha zitatapeliwa 














Asee uko vizuri sn kwenye mapishi ya chapati


Hahahaaa... Tunacheza tena lini?? Ile siku nilikua napumulia masikio especially pale manura avoteleza pale golini nilihisi kufakufa!!Uliponea chupu chupu siku ile. Nilitaka nikupige laki 5 mchana kweupee! Una bahati sana!


Hata sijui ni lini aisee. Hata ratiba ya ligi sina. Tukiwa wazima nishtue nikupige tena! Lazima nile hela zako tu evenchuale!Hahahaaa... Tunacheza tena lini?? Ile siku nilikua napumulia masikio especially pale manura avoteleza pale golini nilihisi kufakufa!!


Jamani wengine bado hatujala ujue

Bestyyyy unadanganyaaaa watu ujue
Hivi sijakwambia bestyyyy??Mihangaiko yako unaifanyia nchi gani huko Ulaya?
Huyu nyoka Nina historia nae kubwa sn,niliwahi kumkalia huku nimekaa juu ya kuni lkn hakunifanya chochote.Alikuwa anafoka Tu Hadi nilipostuka
Mtakuja ua watu mjue!!😳😳😳Ipo!
Aisee, Chuichui imekakaa mahala pake!
🤣🤣✌️✌️✌️✌️ Wape hi✋!😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanangu wenyewe haoooo