Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
๐๐๐๐๐๐๐Hapana![]()
Mwee
๐๐๐๐๐๐๐Hapana![]()
Mhola du(salama kabisa)Mhola du!.
Sielewi hata najibu sentensi gani hapo.

Kuna mtu aliniambia mimi mpole .Hehehe![]()
Vizuri sana kama ni safi mkuuSafi Mkuu
Kuna mtu alikuwa ananifundisha kisukuma hapa jukwaani anaitwa PTER.Mhola du(salama kabisa)
Upo sawa au kuna mtu msukuma pembeni kakuelekeza/fundisha kujibu?![]()
Bhasi ni mwalimu wako mzuri sana usiache kuendelea nae kukufundishaKuna mtu alikuwa ananifundisha kisukuma hapa jukwaani anaitwa PTER.
Inabidi aendelee na darasa aisee![]()
Sijaona mpole hapaKuna mtu aliniambia mimi mpole .
Nikasema asante Mungu,kumbe kuna muda naonekana mpole na hamsemi![]()


CoolGood try...Upo vzr kwenye hizi mambo๐
Hey hi

Mie nlikua sijuagi hata jana ndo nimetajiwa.Oohh basi hata mimi ndiyo nasikia leo kuwa Wangoni ni watani zetu
Salama.Na hata milele AMINA
Habari za asubuhi mkuu
Wa kuwa chibonge? Unamchosha bibi sema hakuambii tyuuhHuu wivu sasa mjukuu![]()




