Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Kisa?
Eti unasema dah
Nimecheka sana.
Kisa?
Eti unasema dah
Nimecheka sana.
Ila inabidi nipunguzeEhehehe nakuelewa vizuri

Hakika Bado wewe tu!Hadi Mkwepu kaselfika leo jamani
Hakika Bado wewe tu!
Hurrrrrayyyyy kwa Mkwepu hurrrrrayyyyy!!
Hapana wewe kama wewe!!Kwamba nimebaki mimi tu humu?
Kwahiyo best unamaanisha kwamba wewe unahangaika hangaika?Nzuri sana bestyyyy. Mihangaiko tu mingi sanaaaa
Si unaona pasipokuwa na mabishano tunavyopoozaYaani nikikuta kuna mabishano; halafu na wewe ukawemo; aisee ni mtakesha. The same akiwepo Anne au Karma; bila kujisahau na mimi mwenyewe. Kwa kweli tupo vizuri ndugu zangu mweeh

tunatia huruma. Ila acha pawe na shughuli mahali tunavyofufuka.Ndiyo mimi mnyaki. Au tufanye nipo Europe Dyadya.Dyadya uko bongo hii kweli? Kumbe nawe ni mnyaki enh?
Ndiwo kipenzi njoo nisaidie kukanyagia.Dea,![]()
Nije nkusaidie kukanyaga dizeli?![]()
Mimi sijui nina kapepoSi unaona pasipokuwa na mabishano tunavyopoozatunatia huruma. Ila acha pawe na shughuli mahali tunavyofufuka.





Ewaaaaah!!Mashine ya viwango
Nakuja fastaaa 🏃🏃🏃🏃🏃Njoo PM nakuonesha full bila filter, ila utakachokiona huko ni siri yako!
Ndio Ndio! Niambie.
Yaani yanakupitaje sasa kwa mfano na wakati ndiyo mambo yako.Mimi sijui nina kapepo
Yaani mabishano hayawezi yakapita bila kunikereketa kuyachangia
Bora dada mkubwa HS huwa anaweza kuvumilia kukaa kimya.



Una makusudi ujue niko naswampa hapa Nina njaa balaa!!😋😋😋😋 Usinisahau as usual! Naona chapati lainiii
Shikamoo!![]()