Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
Kisa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti unasema dah[emoji38][emoji38]
Nimecheka sana.
Kisa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti unasema dah[emoji38][emoji38]
Nimecheka sana.
Ila inabidi nipunguze[emoji38]Ehehehe nakuelewa vizuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kisa?
Hakika Bado wewe tu!Hadi Mkwepu kaselfika leo jamani
Hakika Bado wewe tu!
Hurrrrrayyyyy kwa Mkwepu hurrrrrayyyyy!!
Hapana wewe kama wewe!!Kwamba nimebaki mimi tu humu?
Kwahiyo best unamaanisha kwamba wewe unahangaika hangaika?Nzuri sana bestyyyy. Mihangaiko tu mingi sanaaaa
Si unaona pasipokuwa na mabishano tunavyopooza[emoji23][emoji23]tunatia huruma. Ila acha pawe na shughuli mahali tunavyofufuka.Yaani nikikuta kuna mabishano; halafu na wewe ukawemo; aisee ni mtakesha. The same akiwepo Anne au Karma; bila kujisahau na mimi mwenyewe. Kwa kweli tupo vizuri ndugu zangu mweeh
Ndiyo mimi mnyaki. Au tufanye nipo Europe Dyadya.Dyadya uko bongo hii kweli? Kumbe nawe ni mnyaki enh?
Ndiwo kipenzi njoo nisaidie kukanyagia.Dea, [emoji7][emoji7][emoji7]
Nije nkusaidie kukanyaga dizeli? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sijui nina kapepo[emoji848][emoji1787]Si unaona pasipokuwa na mabishano tunavyopooza[emoji23][emoji23]tunatia huruma. Ila acha pawe na shughuli mahali tunavyofufuka.
Ewaaaaah!!Mashine ya viwango
Nakuja fastaaa 🏃🏃🏃🏃🏃Njoo PM nakuonesha full bila filter, ila utakachokiona huko ni siri yako!
Ndio Ndio! Niambie.
Yaani yanakupitaje sasa kwa mfano na wakati ndiyo mambo yako. [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sijui nina kapepo[emoji848][emoji1787]
Yaani mabishano hayawezi yakapita bila kunikereketa kuyachangia[emoji38][emoji38][emoji23]
Bora dada mkubwa HS huwa anaweza kuvumilia kukaa kimya.
Una makusudi ujue niko naswampa hapa Nina njaa balaa!!😋😋😋😋 Usinisahau as usual! Naona chapati lainiii
Shikamoo![emoji113]