Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Kuna nini????ila wewe jamani
Kuna nini????ila wewe jamani
Nimemzuia kwa muda asiingie jf kwa sababu namuhitaji kipindi hiki cha sikukuu
Mwenyezi MUNGU awabariki Sana.Ila Acha udictetaNimemzuia kwa muda asiingie jf kwa sababu namuhitaji kipindi hiki cha sikukuu
Mimi na huyo ..... ni wazima wa afya kabisa(tunaendelea vizuri)
HahahahaHakuna shingo baba sema una makengeza
Vizuri sana kama ni nzuri kabisaNzuri kabisa, sijui wewe
AMINAMwenyezi MUNGU awabariki Sana.Ila Acha udicteta

Kwa kweli. Ngoja niende kule nikaangalie kuna kitu kama nakumbuka hivi halafu ntarudi

Isiwe kesi sheikh wangu hahaahahahahHahahaha
Wewe ndo unamakengeza Sheikh
Subiri basiiiiiUende wapi![]()
Hilo eneo nililoBold ni kivumishi, Kielezi, Nomino, Kiwakilishi au Kitenzi?
Nipe Namba nikutumie hela ya![]()




kilugha chetu hicho, maana yake tumbo kubwa lililopitiliza, Dooh halafu sitaki kuamini hadi umri huu sijawahi miliki nguo ya chui chui









Dyadya uko bongo hii kweli? Kumbe nawe ni mnyaki enh?