cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,288
- 187,945
Ndyo shem ex nipo UDSM,Upo UDSM?
Ndyo shem ex nipo UDSM,Upo UDSM?
cc umenstua sana ujue, kwan huyu shem ex n lecturer na yko UD?Yawezekana unachat na mwanafunzi wako bila kujijua[emoji23]
Kamekazana kanakuita ex shem ex shem kumbe ex shem ndio anamlima mapindi hapo yudizim
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amesema huyo n kaka etu eti,Huyu alishamove on yupo na baba mtumishi kitambo@cocastic
Yaan iv ni lecturer kumbe mbna nimepause ghagla mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana
Kawaida yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eboooh lolInawezekana ni classmates
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba mtumishi bhana, bas sawa.Yeah, kwa mwanaume...not bad
Ila kwa wadada wanaojua kuandika vizuri kama mama mtumishi Saint Anne hayo ni matumizi mabovu ya karatasi na wino [emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eboooh lol
Endelea kuchat na mwalimu wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaan iv ni lecturer kumbe mbna nimepause ghagla mie, [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amesema huyo n kaka etu eti,
Unaogopa nini?cc umenstua sana ujue, kwan huyu shem ex n lecturer na yko UD?
isiwe kweli jaman, yaan nimeogopa mie hapa lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
Hageuki huyo ni wa kufa na kuzikanaBasi mwambie asigeuke geuke nyuma mwisho akawa jiwe la chumvi
Tunakamata wingu.[emoji23][emoji23]hata mie naona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] joto la mwili lilipanda ghafla lolUnaogopa nini?
Nakuzingua[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tusipandishane pressure bas cc lol.Endelea kuchat na mwalimu wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka sana
Nifike wapi? Afu ulinidanganya SAA had leo mmmh.Ahsante! Njoo uchukue!
Nitaenda kesho mjukuuAaaah bibi mzee huyo hajuagi, yaan huo ukiingia pale gate la UDSM videmu vyote vinapaparika, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapenda watu wanaovaa hivyo, wanajua pesa ziko mlangoni kwao. [emoji23][emoji23][emoji23]
Napendaga sana Vyuku vyaoView attachment 2042985
Umenikumbusha hii[emoji1474][emoji1474][emoji1474]