Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakuna jipya hapa duniani mpendwa; na mambo yote ukiyatazama katika ujumla wake ni ubatili tu. It has been 3 yrs lakini utafikiri ni juzi tu yaani

Wapendwa wetu waliotangulia walale salama; na sisi tuliobaki tujiandae ili tuwe na mwisho mwema. Tuendelee kuselfika sasa. No condolences please .
View attachment 2043447
Pole sana ...
Miaka ya mwanzoni uchungu ni mkubwa sana ila kadri siku zinavyoenda Mungu anazidi kufariji .

Happy belated birthday too .
 
Asante besti. Nitapita nyumbani kwako leo au kesho

Mtu ukizeeka hata mzuka wa kusherehekea birthday hakuna. Na mimi nimekulia kijijini huko hakuna mambo ya birthday wala nini hivyo huwa sisherehekei japo wapo watu wanaojaribu kunilazimisha. Ila sema tu hapa majuzi juzi kiliumana mama naye akafariki siku hiyo hiyo hivyo kwangu sana sana siku hii imegeuka na kuwa siku ya kumkumbuka mama zaidi kuliko birthday hasa ukizingatia kuwa nilikuwa last born wake ()...


View attachment 2043417
Pole kumpoteza mama mkuu, tena kwenye siku yako ya kuzaliwa. Ilitokea kwangu pia, siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa nikapoteza mtu muhimu.
 
Huu mwandiko kama mashairi ya kitabu Fulani kwenye bible. Daa Ile mistari inamsifia mwanamke mpaka anaenda kibra mwenyewe. Ngoja niitafute nikumbushie.
Kitabu cha "Wimbo Ulio Bora" nadhani kimeandikwa na Mfalme Suleimani - Mfalme Tajiri wa mali, Hekima na Wake. Nadhani hatotokea Mtu wa kuvunja RECORD yake kwenye maeneo hayo.

Unakuta Mwanamke analalamika mume wake ana michepuko anasahau Suleiman peke yake alikuwa na michepuko(Masulia) zaidi ya 700🙌
 
JPEG_20211214_171201_8622505652709004344.jpg

Kitu original
 
Mambo mengine ni kusumbua watu tu. We najua huwezi kuninunia halafu. I hope hujambo na wapendwa wako!
Ungetukumbusha tu ili walau tukuimbie "hepi sabidei" last born wetu

Naanzaje sasa kukununia ngosha wetu unayependa kutuchokoza wanyakyusa

Wote hatujambo kabisa mkuu sijui wewe

May our beloved mom keep resting in peace
 
Back
Top Bottom