Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Katika wote sisi; angalau wewe ndiyo unajitahidi kwa upole;hawa ndugu zangu wengine ni shida kwa kweli. Ingawa kwenye misimamo yako sasa; nasemaga hakika huyu ni mnyaki[emoji23][emoji23][emoji23]
yaani nimejikuta nahesabu wadada wanyaki humu nimeona wapo kama 6 kumbe tumo tumo.


Hamna sio mpole[emoji3].
 
Ingia insta msearch huyu Jafferyahmed kama nipo sahihi au kaangalie amepostiwa juzi na Belina Mgeni, huwa ana dawa kamsaidia rafiki yangu alikua na Asthma ila now habanwi wala nini.
Oh asante sana[emoji120]
Nitaanza kutumia instagram kwa ajili yake.


Nahisi mimi ndio wa kwanza kuugua huu ugonjwa ukoo wetu...japo ni ile ya utani utani siyo serious hata kidogo.
 
Back
Top Bottom