Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kitabu cha "Wimbo Ulio Bora" nadhani kimeandikwa na Mfalme Suleimani - Mfalme Tajiri wa mali, Hekima na Wake. Nadhani hatotokea Mtu wa kuvunja RECORD yake kwenye maeneo hayo.

Unakuta Mwanamke analalamika mume wake ana michepuko anasahau Suleiman peke yake alikuwa na michepuko(Masulia) zaidi ya 700
Wanajifanya wamesahau
 
Chuga.
IMG_20211214_191534.jpg
 
Ungetukumbusha tu ili walau tukuimbie "hepi sabidei" last born wetu

Naanzaje sasa kukununia ngosha wetu unayependa kutuchokoza wanyakyusa

Wote hatujambo kabisa mkuu sijui wewe

May our beloved mom keep resting in peace
Thanks Karma for your prayers.

You are a good friend.

Hepi besidei na miaka 76 hii mweh!

Ila nilipata zawadi kutoka kwa kadogo kako haka (13 yrs old). Huwa kanafundisha watoto wenzie mahesabu mitandaoni huko kanapata vijisenti vyake. Proud dad nikapata dinner ya uhakika na vizawadi. Nothing like having a daughter wallahi!
I am blessed beyond measure...​

20211214_100248.jpg


20211214_100214.jpg


20211214_095944.jpg
 
Thanks Karma for your prayers.

You are a good friend.

Hepi besidei na miaka 76 hii mweh!

Ila nilipata zawadi kutoka kwa kadogo kako haka (13 yrs old). Huwa kanafundisha watoto wenzie mahesabu mitandaoni huko kanapata vijisenti vyake. Proud dad nikapata dinner ya uhakika na vizawadi. Nothing like having a daughter wallahi!
I am blessed beyond measure...​

View attachment 2044134

View attachment 2044135

View attachment 2044136
Awww thats so sweet

Wow 13 years old making her own money? Congratulations for raising such a wonderful and intelligent daughter!
 
Pole kumpoteza mama mkuu, tena kwenye siku yako ya kuzaliwa. Ilitokea kwangu pia, siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa nikapoteza mtu muhimu.

Pole sana ...
Miaka ya mwanzoni uchungu ni mkubwa sana ila kadri siku zinavyoenda Mungu anazidi kufariji .

Happy belated birthday too .
Thanks wapendwa....

Duniani hapa twapita tu...
Ajabu sasa hata hatuna uhakika na tuendako....
But again, matter can neither be created nor destroyed...
May be we are travelers in an eternal journey...to nowhere/somewhere
Ila maisha ni haya haya...
Ni lazima tuyaishi tu kwa sababu hakuna namna...
Na siku moja isiyo na jina haoooo twaenda zetu...
Kila mtu kwa ratiba yake...
Maisha...Rosa Mistika...Fumbo !!!​
 
Awww thats so sweet

Wow 13 years old making her own money? Congratulations for raising such a wonderful and intelligent daughter!
Yap...
From the get go the lady knows her Math & Science...and she gets paid handsomely to tutor other kids online...She is doing college Calculus now...A pediatric neurosurgeon/cardiologist in the making...and universities are already calling...

We just pray that God continue blessing, protecting and guiding her...
 
Back
Top Bottom