Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Inawezekana mi ningekuwa wake
Ila niyeye tu na mapepe yake
Vile alivyo bomba watu anawabamba mimi nahisi sitakuwa pekeyangu[emoji444][emoji444][emoji444]

Inawezekana yeye angekuwa wangu
Ila nahisi atautesa moyo wangu[emoji23][emoji23][emoji23]


Ray C&squizer[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]

Old is gold.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cc iv ulikwama wapi sasa? Wee flowz zote izi bado ukabwagwa, khaaaah hebu fanya fanya m [emoji672], hahah
 
Sasa bado upo shule mwandiko unapotea,ukirudi mtaani si mwandiko utakufa kabisa[emoji23][emoji23]

Njoo nikugawie bure kabisa..
Mwandiko wangu kuna namna natamani uwe ila ndio basi tena nashindwa.

View attachment 2042705
Hkl wenzangu naomba mnisaidie kama mna idea kidogo..haya ni manini tena?

[emoji23][emoji23]
 
Mwandiko wa kitumishi sana huu. Kama wa akina Yakobo na akina Yusuf
View attachment 2042727
[emoji7][emoji8]
20211213_153214.jpg
 
Back
Top Bottom