Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Hahaa wabongo utasikia
Check Noris
Jack Shen
Anodi Shozniga
Van Dizo
Hahaa wabongo utasikia
Naam, wimbo umejaa uwepo wa Bwana.Baba chukua wimbo huo..NIJAZE
Ni wimbo wangu bora zaidi wa muda wote.
Siku moja nipeleke anapoabudu huyu mtumishi mwenzetu John Lisu..tukaabudu naye pamoja.
Ni mwaka mzima sasa nasubiri selfie yako baba mtumishi.Amen, na ikawe kama utamanivyo moyoni mwako.
Sipotei, nikisahau kuja huku tataonane kule mtaa mwingine.
Selfie ni usiku mataga wakilala![]()
TazamaAwww
Nasubiri kwa hamu baba mtumishi.
Nikajua ni utani tu wa ule uzi ' wa mwisho ndiye mshindi',,
Kumbe uko serious???
AmenTazama
Amen amen nakuambia, tukiamua jambo letu na Bwana akalibariki hakuna wa kutuzuwia.




Can somebody shout Amen 🤓Amen
Nasubiri.
Amen😂😂Can somebody shout Amen 🤓
Sijui kanisa gani ila najua yupo DSMNaam, wimbo umejaa uwepo wa Bwana.
John Lissu anasali kanisa gani mama mtumishi? I mean mkoa gani?
Ahsante kwa hii 'singo'
Nifundishe cc huo muandikoMonday vibeView attachment 2042508


.View attachment 2042546
Tushindane kuandikia mkono tofauti, mi ni right nimeandika kwa left.
NB, message kwenye karatasi haiuhusiani na member yeyote wa jf.
Twende kazi.
Tukimaliza hapo tunakuja kushindana sasa mikono tunayotuniaga.






Inawezekana mi ningekuwa wake









