cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Naanza kuamini cc angu,Eti eeh?
Yaani hadi mimi nilishindwa ujue nilivumilia sana.


Hizo jack Daniels na four coucinz utakunywa hadi za 400k![]()




iv mtu ananunua pombe ya 150k, afu chupa 1, yaan watu wana pesa za kucheezea wallah.Mzuri kwa mwanaumeMwandiko wa kitumishi sana huu. Kama wa akina Yakobo na akina Yusuf
View attachment 2042727


Mmmh shos aseeeh poleeeh, relaaax bhana. Uwe sawa.Tatizo sio kunikasirisha tatizo ni kwamba kila mmoja ashamove on na maisha yake... Ana mtu mwingine nami nina mwanaume mwingine just imagine nipo kazini nimeletewa hio picha nijibu mashtaka! Leo badala ya kuja kuchukuliwa kupelekwa kula lunch nimeletewa hio picha nijibu tuhuma. Nimepanic na mchana nimekosa hamu ya kula tena!
cc umeanza lin kuvaa vimini?Who can stand against the Lord?
No one can,
No one will.
Ohooooo
Ooohhh
Victory belongs to Jesus,Victory belongs to HimView attachment 2042801



Ooh vyemaAsante yashaisha lakini!

Unaonaje huyu akawa shem wako??Mzuri kwa mwanaume![]()
cc umeanza lin kuvaa vimini?
Nimeshtuka ujue?

Don huyo.iv mtu ananunua pombe ya 150k, afu chupa 1, yaan watu wana pesa za kucheezea wallah.
Ana drama sana.Naanza kuamini cc angu,![]()
Wewe unacheka umeiona miamba
?nimependa nywele zako
Keki yako nakuletea leo

usizingue...... last week nimeenda Kimara mwendo kasi wananishangaa tu uyu vip kwani nauliza kekiHaukupita hadi nikawaambia wale tu.usizingue...... last week nimeenda Kimara mwendo kasi wananishangaa tu uyu vip kwani nauliza keki