Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,752
- 21,974
Jiji dogo sana hilo!

Jiji dogo sana hilo!

Weeeeeeeehhhh doh nimepitwaaaa.. Naomba samari kidogo nikaendelee ntakapoukutia




hope ushaenda huko.Wee mlongo usiniambie? Ivi ni kweli? Aaaah mie mwez March ntatua tena huko.Mlongokesho naamsha
![]()



KulimaWee mlongo usiniambie? Ivi ni kweli? Aaaah mie mwez March ntatua tena huko.![]()

Safari ya wapi Tena au ndio tushaanza kwenda kuhesabiwa!
Kurudi nyumbaniSafari ya wapi Tena au ndio tushaanza kwenda kuhesabiwa!

Ila stendi ya nbezi nzuri!
Inavutia haswaa kama ukipiga picha!Kiukweli ni nzuri Sana,inavutia
![]()
Cheknoris!!! 🤩Missing in Action
View attachment 2041987
🤣🤣🤣 Mi nimetamka! Miaka hiyo Nakumbuka Tulikua tunaangalia muvi za kina cheknoris na anodi shozniga kwenye mabanda ya video