Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
😂😂😂keki unaweza ichukulia poa ila ina umbua mbaya siku ile niliaibika sana vitoto vya dada zangu vinakuja jikoni vinachungulia Odo keki bado kumbe kitu ugaliii😂😂😂😂Mimi hivyohivyo.
Watu walikuwa waisubiri wale,nikajitoa kimasomaso kupika.
Bora hata ingekuwa ugali
Haikuiva kabisa,ilikuwa inafurumia tu hapo jukoni..blue band inateketa tu pale juu inatoa povu.
Nilichochea usiku kucha,nateketeza tu mkaa lakini wapi.
Ni miaka 6 sasa imepita,ndio nimejaribu tena leo.





