Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante. kukoroga Koroga tu jamani inaonekana tamu! Ingredients ni hizo tu??? Vipi chumvi mafuta ama?? Nipe procedures hata kwa ufupi tu
Mweee


Hebu wataalam njoeni
Mimi nina uexpert gani wa kuelekeza mtu na wakati nimebahatisha.


Nimeanza blue band na sukari,
Nikakoroga sana hadi sukari ikayeyuka kabisa mchanganyiko ukawa kama uji.

Nikaja mayai,nimeyapasua nikayakoroga sana hadi yakatoa povu..
Nikatia limao kidogo kuyatoa shombo.
Nikayachanganya kwenye mchanganyiko wa blueband na sukari.


Nikaja unga,nikawa natia kidogo kidogo kwenye mchanganyiko huku nakoroga.
Nikakoroga hadi size niliyoona inafaa ,,
Nikapaka blue band kidogo kwenye sufuria ili keki isinase chini na ichomoke vizuri.
Mchanganyiko nikaumimina kwenye sufuria.
Nikaweka moto juu na chini ninaoona unafaa.



Nb :usije ukajiroga ukazidisha blue band.
Keki haikauki hata upike mchana kutwa usiku kucha.
 
Mweee


Hebu wataalam njoeni
Mimi nina uexpert gani wa kuelekeza mtu na wakati nimebahatisha.


Nimeanza blue band na sukari,
Nikakoroga sana hadi sukari ikayeyuka kabisa mchanganyiko ukawa kama uji.

Nikaja mayai,nimeyapasua nikayakoroga sana hadi yakatoa povu..
Nikatia limao kidogo kuyatoa shombo.
Nikayachanganya kwenye mchanganyiko wa blueband na sukari.


Nikaja unga,
Nikakoroga hadi size niliyoona inafaa ,,
Nikapaka blue band kidogo kwenye sufuria ili keki isinase chini na ichomoke vizuri.
Mchanganyiko nikaumimina kwenye sufuria.
Nikaweka moto juu na chini ninaoona unafaa.



Nb :usije ukajiroga ukazidisha blue band.
Keki haikauki hata upike mchana kutwa usiku kucha.
Asante dear. Will try ntaleta mrejesho!
 
Mweee


Hebu wataalam njoeni
Mimi nina uexpert gani wa kuelekeza mtu na wakati nimebahatisha.


Nimeanza blue band na sukari,
Nikakoroga sana hadi sukari ikayeyuka kabisa mchanganyiko ukawa kama uji.

Nikaja mayai,nimeyapasua nikayakoroga sana hadi yakatoa povu..
Nikatia limao kidogo kuyatoa shombo.
Nikayachanganya kwenye mchanganyiko wa blueband na sukari.


Nikaja unga,nikawa natia kidogo kidogo kwenye mchanganyiko huku nakoroga.
Nikakoroga hadi size niliyoona inafaa ,,
Nikapaka blue band kidogo kwenye sufuria ili keki isinase chini na ichomoke vizuri.
Mchanganyiko nikaumimina kwenye sufuria.
Nikaweka moto juu na chini ninaoona unafaa.



Nb :usije ukajiroga ukazidisha blue band.
Keki haikauki hata upike mchana kutwa usiku kucha.
Asante unaweka pink poda au ni mchanganyiko huu
 
Back
Top Bottom