Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeweza bhana ,mara ya kwanza watu hutoa vituko mara iungue tena kwenye mkaa .

Dawa ya cake ni ile mixer na oven tu
Uliza ya kwangu ilikuwaje mara ya kwanza
Bora hata ingeungua.
Sina hamu na blueband.

Ilikuwa inachemka tu kama uji ,nilichochea usiku kucha
Nilijaza blueband.
Tangu hapo niliachana kabisa na habari za keki.
 
Screenshot_20211211-073356.jpg
 
Uliza ya kwangu ilikuwaje mara ya kwanza
Bora hata ingeungua.

Ilikuwa inachemka tu kama uji ,nilichochea usiku kucha
Nilijaza blueband.
Tangu hapo niliachana kabisa na habari za keki.
Mimi nimejifunza keki kwa sasa nimesusa mara ya mwisho niliwakaribisha dada zangu home nikawataarifu kuna keki kilichotokea ugali badala ya keki😬😬
 
Uliza ya kwangu ilikuwaje mara ya kwanza
Bora hata ingeungua.

Ilikuwa inachemka tu kama uji ,nilichochea usiku kucha
Nilijaza blueband.
Tangu hapo niliachana kabisa na habari za keki.

Yaani keki mimi nimechukia kupikia kwenye mkaa yaani siku hizi mpaka niende kwa watu wenye oven dah au ninunue tu nile ..

Mwanzo mgumu dah unaweza ukapika vichekesho kabisa .
 
Mimi nimejifunza keki kwa sasa nimesusa mara ya mwisho niliwakaribisha dada zangu home nikawataarifu kuna keki kilichotokea ugali badala ya keki
Mimi hivyohivyo.
Watu walikuwa waisubiri wale,nikajitoa kimasomaso kupika.

Bora hata ingekuwa ugali
Haikuiva kabisa,ilikuwa inafurumia tu hapo jukoni..blue band inateketa tu pale juu inatoa povu.
Nilichochea usiku kucha,nateketeza tu mkaa lakini wapi.

Ni miaka 6 sasa imepita,ndio nimejaribu tena leo.
 
Yaani keki mimi nimechukia kupikia kwenye mkaa yaani siku hizi mpaka niende kwa watu wenye oven dah au ninunue tu nile ..

Mwanzo mgumu dah unaweza ukapika vichekesho kabisa .
Mimi kubalance moto wa mkaa siyo shida kabisa kwangu..sijui kwa vile nimezoea chapatu nacheza sana na kiwango cha moto.
Labda inizingue tu kwenye kukanda.
 
Nilidhani ni mimi tu nnayetia aibu, sijawahi kupika hii ila natamani, ukipika utupe receipe yake dear
Najua ninatoa kituko
Ila nitapiga moyo konde na kujaribu tena.



Mimi najisikia aibu sana aisee
Sambusa zilivyo tamu vile na sijui kupika,yaani watu wakitaka wale inabidi wanunue...huu ni uzembe.
 
Mimi kubalance moto wa mkaa siyo shida kabisa kwangu..sijui kwa vile nimezoea chapatu nacheza sana na kiwango cha moto.
Labda inizingue tu kwenye kukanda.
mie mkaa unanichosha inachelewesha hivi then hapo upo excited unaisubiri ule kwa hamu .

siku moja nikaona YouTube keki inaiva kwa rice cooker nikajaribu aisee kumbe sio rice cooker zote zinaweza kupika cake , nikashangaa pap imezima chini ndo imeiva ,
 
Back
Top Bottom