Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
That's understandable 😕 Ila inabidi ujaribu.hapo ndo pagumu, mie nlitaka kufia kwenye maji wakat nipo 4m 1, tangu hapo maji nayaogopa mno.
That's understandable 😕 Ila inabidi ujaribu.hapo ndo pagumu, mie nlitaka kufia kwenye maji wakat nipo 4m 1, tangu hapo maji nayaogopa mno.
Usivo na adabu ungeng'ata hadi papuchi weweila ningekupa konzi ufie huko huko kwenye papuchi
![]()




















nimecheka sana.....una ufalaMtakatifu muite yule babe wangu ashuhudie Mungu alivofundi
Upo mpaka lini???Uje tunywe fresh pineapple juice 🥤🙂
😂😂😂😂 Gerald bananimecheka sana.....una ufala
Ufundi gani dear kawaida tu😂Mtakatifu muite yule babe wangu ashuhudie Mungu alivofundi
Yeaah ntajaribu, yaan hata nikiwa naenda kigamboni napita darajan, sipiti ferryThat's understandableIla inabidi ujaribu.



We ni mzuri bwanaUfundi gani dear kawaida tu![]()
Eti kwa Nini hamvai socksHAPPY SABBATH DAY SAINTS View attachment 2040134
Safi sana Saint Anne mtu kama wewe ambaye unajifunza na kujaribu mna nafasi yenu peponi kwenye kivuli Cha mzambarau.Japo hata haijachambuka kihivyo
Wataalam mtanifundisha,niongeze nini nipunguze nini.View attachment 2040335
Kesho tu....Upo mpaka lini???
Safi sana Saint Anne mtu kama wewe ambaye unajifunza na kujaribu mna nafasi yenu peponi kwenye kivuli Cha mzambarau.
Ngoja turudi kwenye ule Uzi nikupe sifa zako
Tatizo lako upo Yanga


Jiandae na kinyume chake
Yanga baba lao
Liverpool baba lao
Yaani leo najiandaa kushangilia tu ushindi wa timu zangu.
Utakuwa wapi tukishinda ili nije kukuonyesha matokeo!?Jiandae na kinyume chake