Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uliza ya kwangu ilikuwaje mara ya kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora hata ingeungua.
Sina hamu na blueband.

Ilikuwa inachemka tu kama uji ,nilichochea usiku kucha[emoji1787]
Nilijaza blueband.
Tangu hapo niliachana kabisa na habari za keki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
20211211_135811.jpg
 
Tatizo wengine mnaogopa maji sasa[emoji3061][emoji3061][emoji925][emoji925]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndo pagumu, mie nlitaka kufia kwenye maji wakat nipo 4m 1, tangu hapo maji nayaogopa mno.
 
Back
Top Bottom