financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
Aah huwa napuliza dawa tu chandarua nasikia uvivu kushusha na kupandisha😀Uwe unatumia chandarua
Aah huwa napuliza dawa tu chandarua nasikia uvivu kushusha na kupandisha😀Uwe unatumia chandarua
😂😂 why uwe mbu ili uning'ate eehbora ningekua umbu tuu
I'm trying
I've tried.
Asante Lizzy kwa kunimotivate,na mimi nimejaribu kupika
Sina oven,nimepikia mkaa.
missyrose
Lizzy View attachment 2040317View attachment 2040320View attachment 2040319View attachment 2040321







cc kipenzi n beach gan? Matema?


Uliza ya kwangu ilikuwaje mara ya kwanza
Bora hata ingeungua.
Sina hamu na blueband.
Ilikuwa inachemka tu kama uji ,nilichochea usiku kucha
Nilijaza blueband.
Tangu hapo niliachana kabisa na habari za keki.







Mwenyeji uwage unanichukua na mie tutalii wote, uchoyo huko




ndio kalumbu....ningekung'ata kila sehemuwhy uwe mbu ili uning'ate eeh




Usivo na adabu ungeng'ata hadi papuchi wewe😂😂 ila ningekupa konzi ufie huko huko kwenye papuchi😂ndio kalumbu....ningekung'ata kila sehemu![]()
Tatizo wengine mnaogopa maji sasa🥴🥴⛴⛴Mwenyeji uwage unanichukua na mie tutalii wote, uchoyo huko![]()
Katoto unakufahmu matema ? Aisee umetisha sanaacc kipenzi n beach gan? Matema?
![]()
Shukran!! Nshakaribia nasikilizia mvua hapa 🥴Karibuuuu
Inanyesha huko???Shukran!! Nshakaribia nasikilizia mvua hapa 🥴
Tatizo wengine mnaogopa maji sasa![]()




hapo ndo pagumu, mie nlitaka kufia kwenye maji wakat nipo 4m 1, tangu hapo maji nayaogopa mno.Uje tunywe fresh pineapple juice 🥤🙂Lukmaan
Sipafamu ila kna ndugu Yang alisoma huko, ndo akawa ananisimulia habari za hiyo beach.Katoto unakufahmu matema ? Aisee umetisha sanaa
YuppInanyesha huko???