Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha unafikiri hawaelewi mkuu wanaelewa sana sema wanajifyatua akili tu! Eti kisa hizo Land Cruiser hazina demand kubwa sana huko Europe na North America basi ndiyo wanazidharau na kuzishusha thamani!

Sasa barabara zetu hizi watafananisha na za huko dunia ya kwanza! Kutumia masaa manne Dar-Dom si mchezo mtu anafukia matuta na rasta chap tu halafu unamchukulia poa wakati BMW sedan kwenye matuta hadi ubembeleze!
Hahahahhaha gari za kazi LC
 
Back
Top Bottom