Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huu uzi una mashoga kwani🥸??? Dah ufala kweli yani
Mwanangu huoni trend ya mabishano? ukipandisha juu kidogo km 5 days ago kulikuwa na vita ya maana hapa.kuna watu wanajibizina hayo maswala.

Mtu unaamua ufungue Uzi uangalie picha unakuta story za mashoga na maresbian,wengine wanapinga wengine wanasuport

Basi unaamua kupita kimyakimya Tu bila salamu na yeyote

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mwanangu huoni trend ya mabishano? ukipandisha juu kidogo km 5 days ago kulikuwa na vita ya maana hapa.kuna watu wanajibizina hayo maswala.

Mtu unaamua ufungue Uzi uangalie picha unakuta story za mashoga na maresbian,wengine wanapinga wengine wanasuport

Basi unaamua kupita kimyakimya Tu bila salamu na yeyote

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Im outta here mzee
 
Hao ni excluded kabisaaaa bahat nzuri Nina experience nazo mjep hapo hakubahatisha
Kabisa mkuu japo kuna Bimmer maniacs huwa hawataki kukubali hili. Kuna uzi kule wa Bimmer vs LC V8 jamaa alipost video anashindana na V8 yeye ndiyo alikuwa kwenye Bimmer V8 ikampita hadi leo ule uzi bado unatembea watu wanabishana tu Bimmer maniacs wameuvamia hatari.

Wenye mahaba na Bimmer watakuambia sijui oo kuna BMW X7 na 7 series zimeshazizidi hizo V8 kwenye kila kitu imagine eti kila kitu (mimi nakataa hapo kwenye kila kitu). Hata mimi kwa mjerumani naona hakuna anayemfikia BMW siyo MB siyo VW ila kwa LC tuseme ukweli mjapani kakataa kuwa mnyonge!
 
Im outta here mzee
Ahaha usisepe mzee,hizi Stori zimetamalaki karibia kila mahali hapa jf siku hizi za karibuni
Dawa ni kuacha kuzungumzia na kuwaquote wanapoyajadili

Kuna kitu hawa watu wanashindwa kuelewa.Law of nature inasema what you focus on expand..yaani unachokipa msisitizo kinakuwa

Wiki sasa wanafocus kwenye hizi Stori za kishoga kwenye huu Uzi kumbe ndy Jambo linavyozidi kuwa kubwa na kutrend.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
1639073784328.jpg
 
Back
Top Bottom