Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,634
Ina maana sura yangu imenisaliti 😅 aiseeUna sura ya Upole ule utata huwa unautoa wapi![]()
Ina maana sura yangu imenisaliti 😅 aiseeUna sura ya Upole ule utata huwa unautoa wapi![]()
Mzee baba una kidimpoz😅 hii sio sawa! Ntoto Depal naona kaelewa showAchana na Depal na mawardat nilikuambia njoo uchukue zangu.Mimi wa kiume naona zinazingua Tu Bora ningekuwa na midevu km blue byser ningefunikaView attachment 2038676
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nissan Y62 ni mean machine aisee tena inaweza kuzibomoa BMW nyingi tu kwa Engine size na Power sema wabongo tumezidi dharau!Hahaha kwani umesahau mkuu? Si wanaidharau kwa sababu tu ni Toyota ni kama watu wanavyozidharau hadi Samsung kwa sababu tu ni android hivyo wanazifananisha na viandroid vingine kama Tecno and co ndiyo hao watu wako walivyo!
Hata Nissan Patrol Y62 V8 tunajua kuna BMW haziikuti sema kwa vile tu ni Nissan ndiyo maana watu wanazidharau! Kuna watu wanachambua vitu kutokana na brand na siyo uwezo halisi yaani brand ya BMW inavyosujudiwa utafikiri nini sijui!
Kwa real experience ya gari wengi hawajawahi panda any of those cars 😅 labda 3 series ila 5 series wachache sana wamezionja tena long trip! Hata VX-R zenyewe ila wanabishana😅Aahh wanaangalia reviews za youtube halafu ndiyo wanakuja kutudanganya huku. Eti hakuna gari inaizidi BMW duuuuh!
Nitongoze hapa,nikupe majibu haha,no kupepesa machounajua kutongoza hadharani Kama hivi yataka moyo Ila sisi wajerumani tunakufa na tai tu na tupo tayari kupokea majibu








wacha nikae kimyaUnachagua watu wa kuwaita watoto eehUna tulips ameizin'

Wacha weeeeh panaAchana na Depal na mawardat nilikuambia njoo uchukue zangu.Mimi wa kiume naona zinazingua Tu Bora ningekuwa na midevu km blue byser ningefunikaView attachment 2038676
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Kwa real experience ya gari wengi hawajawahi panda any of those carslabda 3 series ila 5 series wachache sana wamezionja tena long trip! Hata VX-R zenyewe ila wanabishana
![]()




suree🤣🤣🤣🤣🙌
Mbona nishakutongoza nasubiri majibu tu hadharaniNitongoze hapa,nikupe majibu haha,no kupepesa macho![]()
Aisee,hongeraAchana na Depal na mawardat nilikuambia njoo uchukue zangu.Mimi wa kiume naona zinazingua Tu Bora ningekuwa na midevu km blue byser ningefunikaView attachment 2038676
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
@billdrago unageuka lini from my - Ira?Roho ngumu ya kijerumani - IRINGA >> mbeyaView attachment 2038464
Wanasemaga nipe muda nifikirieMbona nishakutongoza nasubiri majibu tu hadharani


Binti habari