Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha kwani umesahau mkuu? Si wanaidharau kwa sababu tu ni Toyota ni kama watu wanavyozidharau hadi Samsung kwa sababu tu ni android hivyo wanazifananisha na viandroid vingine kama Tecno and co ndiyo hao watu wako walivyo!

Hata Nissan Patrol Y62 V8 tunajua kuna BMW haziikuti sema kwa vile tu ni Nissan ndiyo maana watu wanazidharau! Kuna watu wanachambua vitu kutokana na brand na siyo uwezo halisi yaani brand ya BMW inavyosujudiwa utafikiri nini sijui!
Nissan Y62 ni mean machine aisee tena inaweza kuzibomoa BMW nyingi tu kwa Engine size na Power sema wabongo tumezidi dharau!

Nasubiri LC300 ziingie kwenye mass production ili serikali wazinunue nyingi kisha watu wataelewa mziki wake kipande cha Dar-Dom!
 
Aahh wanaangalia reviews za youtube halafu ndiyo wanakuja kutudanganya huku. Eti hakuna gari inaizidi BMW duuuuh!
Kwa real experience ya gari wengi hawajawahi panda any of those cars 😅 labda 3 series ila 5 series wachache sana wamezionja tena long trip! Hata VX-R zenyewe ila wanabishana😅
 
FB_IMG_1639062849051.jpg
 
Back
Top Bottom