Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
She's here 🤣Hahahahah na babe wakee
She's here 🤣Hahahahah na babe wakee
Ongezeaa inawezekana babe wako hakukumbuk8Babe mi shatupia nyingi tu humu
Nishamuona kivurugeeShe's here 🤣
Kabisaa yaan ccNikuwa sielewi hata zimeishaje ila zinaisha.
Cha muhimu kupata confidence.



Kizembee hivoNimeona unaninyanyasa nayo mno
Nikagivu apu![]()
Khakhaaaaa nacheka kama mazuri vile! Chibongeeeee! Nouma sana usithubutu kukutwa!!Nikajua ulitekwaa😄😄😄😄
Chi chi chi cha cha cha
Hii si sawa. Naenda kulala peke Angu
YaaniKizembee hivo
Naelewaaa ,mara paapuuuu imefanyika remix nani aingieKhakhaaaaa nacheka kama mazuri vile! Chibongeeeee! Nouma sana usithubutu kukutwa!!
Naona vile mnanisengenya jiraniShe's here![]()

Babuuh mada km hizi hapa sio sehemu yake, japo uzi ni wako unazua taharuki mno,Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.
Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling, ambapo aliwashirikisha wanajamii wa LGBT.
"Hakuna kujificha tena," aliambia vyombo vya habari vya ndani.
Alisema kwa sasa anaishi ukweli wake na atatumia muziki wake kupinga taasubi za kiume zenye sumu, chuki na unafiki.
Chimano hajawahi kujitokeza hadharani kama mpenzi wa jinsia moja ingawa hapo awali aliwahi kuonekana na wapenzi wa kiume.
Tamko hilo la hadharani linaweza kuwa kupiga jeki juhudi za kupigania haki za watu wa jamii ya LGBT nchini Kenya, ambapo mapenzi ya jinsia moja yameharamishwa na yanaweza kuadhibiwa kwa hadi miaka 14 jela.
View attachment 2038606





Sio kweliNaona vile mnanisengenya jirani![]()
Apekue makabrasha ataonaOngezeaa inawezekana babe wako hakukumbuk8
Jmos mechi jezi inavaliwa au ndo mpka manara arudiApekue makabrasha ataona
Yaliyopita tumeachana nayo babe...weka hapa nilale vzrBabe mi shatupia nyingi tu humu
Aingie Mwanachama Cha che chiiiiiiiiiiii!!!Naelewaaa ,mara paapuuuu imefanyika remix nani aingie