Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hivi sijui nimeandika two in 1Arosto na mkesha!!!🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭!!
Hivi sijui nimeandika two in 1Arosto na mkesha!!!🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭!!
🤣🤣🤣🤣🤣!!!Hivi sijui nimeandika two in 1
Umeonajee kwani🤣🤣🤣🤣🤣!!!
Humu kuna kila aina ya watu basi buridaniiiiIla huu uzi![]()
Hivi umeninyima picha LKee?Kwa hiyo kesho
full kichekesho, mada wanazikataa wenyew, tena wao wenyewe wanazileta, afu tukisema hapa hizo mada ni pendwa kwao, wanahemkwa,
Yaan hadi wenzao wameanza kuwachoka na kuwafurusha,![]()


Mmoja wapo babe wako valeee...😀😀😀😀Humu kuna kila aina ya watu basi buridaniiii
Acha ramli mdogo etu![]()






yaan huu uzi, hata unune utashindwa unakutan na comments unacheka km chizi vile.Unadhani hata ni cha maana basi?Kipi hicho![]()










Nilikwambia nini ulipompigia makofi ya kumpongeza?Ila wewe.. si umeshasema umefunga malumbano? Haya yote ni juu ya nini tena?
Sent using Jamii Forums mobile app



Nimefurahi tu!!Umeonajee kwani
Huyu kafika sehem sahihi atakaa sawa😁Mmoja wapo babe wako valeee...😀😀😀😀
Yaani nacheeekaHumu kuna kila aina ya watu basi buridaniiii




kuna comment fulani, nimecheka hapa nusu niangushe cm, afu kapiga kwenye mshono. 


Si ndo vizuri....Nimefurahi tu!!
Km namfahamu huyu mtu, sema ameziba sana lolAhahah mkuu Mimi na Depal hatuna undugu kbs..yeye ni mmeru wa Arusha huko na Mimi ni muafrikaan from South Africa
View attachment 2038764
Kama anakwambia picha upekue huko nyumaHuyu kafika sehem sahihi atakaa sawa😁