Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20211209-WA0273.jpg
 
Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.

Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling, ambapo aliwashirikisha wanajamii wa LGBT.

"Hakuna kujificha tena," aliambia vyombo vya habari vya ndani.

Alisema kwa sasa anaishi ukweli wake na atatumia muziki wake kupinga taasubi za kiume zenye sumu, chuki na unafiki.

Chimano hajawahi kujitokeza hadharani kama mpenzi wa jinsia moja ingawa hapo awali aliwahi kuonekana na wapenzi wa kiume.

Tamko hilo la hadharani linaweza kuwa kupiga jeki juhudi za kupigania haki za watu wa jamii ya LGBT nchini Kenya, ambapo mapenzi ya jinsia moja yameharamishwa na yanaweza kuadhibiwa kwa hadi miaka 14 jela.
JamiiForums1940543168.jpg
 
Hio siri ya kambi, hongera sana man sisi ndio tunaenda kulala sasa
Dah usinipe hongera maana kukesha kunauma sn.Night shift haizoeleki asee

Hapa ndy naingia mzigoni Ila nimechoka sn,walionisalimia wote nimeitikia Kwa kichwa..Mdomo Una ganzi hautaki kuffunguka.Yaani nimechoka Hadi kuongea naona uvivu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Dah usinipe hongera maana kukesha kunauma sn.Night shift haizoeleki asee

Hapa ndy naingia mzigoni Ila nimechoka sn,walionisalimia wote nimeitikia Kwa kichwa..Mdomo Una ganzi hautaki kuffunguka.Yaani nimechoka Hadi kuongea naona uvivu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Zama mitamboni mkuu😂 si ni mambo ya hela!
 
Back
Top Bottom