Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe

Na upenda tu
Kuwa makini,usije kuwa Kama bundi.Bundi hunusa harufu ya mtu anayekaribia kufa hata wiki moja kabla ndy maana anahusishwa na uchawi.Akilia juu ya paa la nyumba yako ni balaa
Ingawa kitaalamu binadamu anapokaribia kufa seli za mwili wake ndy huanza kufa taratibu na zinatoa harufu ingawa Sisi binadamu hatuhisi, ndy mana bundi ana uwezo wa kuhisi kifo mapema sn kwenye nyumba yenye mgonjwa mahututi anayekaribia kufa

Sasa wewe unaupenda huo wimbo wa nimeachika wa hi amber Lulu,ukiulizwa unasema unaupenda Tu.angalia usije kuwa km bundi

Ni mfano Tu lkn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hio chombo watu wanaichukulia kizembe sana yani wanahisi experience yake ni kama Vits
Hahaha kwani umesahau mkuu? Si wanaidharau kwa sababu tu ni Toyota ni kama watu wanavyozidharau hadi Samsung kwa sababu tu ni android hivyo wanazifananisha na viandroid vingine kama Tecno and co ndiyo hao watu wako walivyo!

Hata Nissan Patrol Y62 V8 tunajua kuna BMW haziikuti sema kwa vile tu ni Nissan ndiyo maana watu wanazidharau! Kuna watu wanachambua vitu kutokana na brand na siyo uwezo halisi yaani brand ya BMW inavyosujudiwa utafikiri nini sijui!
 
Kabisa mkuu japo kuna Bimmer maniacs huwa hawataki kukubali hili. Kuna uzi kule wa Bimmer vs LC V8 jamaa alipost video anashindana na V8 yeye ndiyo alikuwa kwenye Bimmer V8 ikampita hadi leo ule uzi bado unatembea watu wanabishana tu Bimmer maniacs wameuvamia hatari.

Wenye mahaba na Bimmer watakuambia sijui oo kuna BMW X7 na 7 series zimeshazizidi hizo V8 kwenye kila kitu imagine eti kila kitu (mimi nakataa hapo kwenye kila kitu). Hata mimi kwa mjerumani naona hakuna anayemfikia BMW siyo MB siyo VW ila kwa LC tuseme ukweli mjapani kakataa kuwa mnyonge!
LC vxr v8 sio mchezo jamani labda hao hawajawai experience wanaongea tu kwa kutazama youtube
 
Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.

Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling, ambapo aliwashirikisha wanajamii wa LGBT.

"Hakuna kujificha tena," aliambia vyombo vya habari vya ndani.

Alisema kwa sasa anaishi ukweli wake na atatumia muziki wake kupinga taasubi za kiume zenye sumu, chuki na unafiki.

Chimano hajawahi kujitokeza hadharani kama mpenzi wa jinsia moja ingawa hapo awali aliwahi kuonekana na wapenzi wa kiume.

Tamko hilo la hadharani linaweza kuwa kupiga jeki juhudi za kupigania haki za watu wa jamii ya LGBT nchini Kenya, ambapo mapenzi ya jinsia moja yameharamishwa na yanaweza kuadhibiwa kwa hadi miaka 14 jela.
View attachment 2038606
Duuh sijui kwanini haya makundi mengi ya muziki (hasa ya wanaume) lazima kuwe na mmoja anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja! Kuanzia West Life, sijui One Direction, mara Sauti Sol na hata The Mafik nao nahisi itakuwa hivi hivi tu duuh!
 
Ni mimi pekee sina Dimpoziii

Cc.@Depal
Achana na Depal na mawardat nilikuambia njoo uchukue zangu.Mimi wa kiume naona zinazingua Tu Bora ningekuwa na midevu km blue byser ningefunika
IMG_20211209_212711.jpg


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kuwa makini,usije kuwa Kama bundi.Bundi hunusa harufu ya mtu anayekaribia kufa hata wiki moja kabla ndy maana anahusishwa na uchawi.Akilia juu ya paa la nyumba yako ni balaa
Ingawa kitaalamu binadamu anapokaribia kufa seli za mwili wake ndy huanza kufa taratibu na zinatoa harufu ingawa Sisi binadamu hatuhisi, ndy mana bundi ana uwezo wa kuhisi kifo mapema sn kwenye nyumba yenye mgonjwa mahututi anayekaribia kufa

Sasa wewe unaupenda huo wimbo wa nimeachika wa hi amber Lulu,ukiulizwa unasema unaupenda Tu.angalia usije kuwa km bundi

Ni mfano Tu lkn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hamna kitu Kama hicho
 
Back
Top Bottom