Selfika na JF: Snap it. Show it

Mommah hakika wee ni akili kubwa na uko sawa, labda nikuambie ukweli haya yote unayowaambia wanayajua na yanawaingia vilivyo, ila unafiki wao unawasumbua hapa na hawana Pa kushika.


Kwa maelezo yako haya km hatakuelewa wee muache aongee akichoka ataacha mwenyewe, yaan anajiona yeye n much know sana huyu mtu. Au hamjawahi kuona ktk nyuzi zingine masifa yake? Yaan anaona wenzie wote n makururu ila yeye ndo mjuaji, anakera sana yaan. Mie nimeshachoka kuona essay zake zisizo hata na maana.

Anaboa mnoo aaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…