Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,930
- 136,693
simu yangu ina nyimbo 3 nikikutajia utacheka.Wewe unataka ya kesho ya mondi??
Hapa nasikiliza belle 9 sumu ya penzi
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
simu yangu ina nyimbo 3 nikikutajia utacheka.


nitajie nikuchekaZimefika.
Kuna ile nabikoowa ya Juliana.
Kuna ile nabikoowa ya Juliana.
Kuna ile ya kuku, ya radio na weasel
Eddy Kenzo na Harmonize, nipo outdated sana.

jamani,nina ma file ya music hadi mungine siyatumii
Umenipa wazo kesho na mie nile biriani
Yaani sikufichi,chakula naweza kupika kikatulia ni pilau nalipatia hatari,viungo tu vikitimiaUmenipa wazo kesho na mie nile biriani
Pilau ile taaam unajua kuipika?

Kuna watu wanapenda sana kusikiliza muziki, we ni mmoja wao.jamani,nina ma file ya music hadi mungine siyatumii
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Sana,napenda kusikiliza muziki unanisafirisha kimawazoKuna watu wanapenda sana kusikiliza muziki, we ni mmoja wao.
Pilau naikubali sanaYaani sikufichi,chakula naweza kupika kikatulia ni pilau nalipatia hatari,viungo tu vikitimia
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Inabidi nije nimfundishePilau naikubali sana
Manzi yangu kupika ile pilau hajui, sijui anafeli wapi
We itabidi uje umfundishe
napenda pilau sana,


Halafu sijui wanawake wote ndivyo mlivyo.Sana,napenda kusikiliza muziki unanisafirisha kimawazo
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
AiseeInabidi nije nimfundishenapenda pilau sana,
Napenda liwe na hiriki ya kutosha,binzari nyembamba,pilipili manga kiasi linachangamka na vuazi vya kutosha,maana napenda viazi vya kwenye pilau
Kachumbari matata yenye ka pili pili Lakini siyo ya kabichi
Hasa likipikwa kwa jiko LA makaa
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Halafu sijui wanawake wote ndivyo mlivyo.
Hivi kwa nini mnapenda kutuma ujumbe kupitia nyimbo?
Kama mmegombana usiku sasa utajuta hizo message unazopata, zinapigwa nyimbo flani unaona kabisa huu ujimbe wangu
We ni mmoja wapo.
mie ni mmojawapo
nasikiliza nyimbo kutokana na wakati niliopo
Msitufanyie hivyo.mie ni mmojawapo
nasikiliza nyimbo kutokana na wakati niliopo
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app