cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Ee tilisha mtori bablai nyama zipo danta![]()







Wee ni kiboko ya watu fulani, na umewanyoosha. Aseeeeh
Ee tilisha mtori bablai nyama zipo danta![]()







Ni kweli mkuu, tuache kuhukumu wengine ilihali hakuna hata mmoja wetu anayeweza kukusimama mbele za Mungu na kusema yeye hana dhambi! Hata Yesu alisema "yeyote ambaye anajiona hana dhambi basi na awe wa kwanza kurusha jiwe kwa huyu mtu", cha ajabu wote wakatulia!
Imeisha mkuu wangu nimekuelewa. Kwa heshima yako na wengine wote ambao wanapenda amani na walikwazika na mabishano yetu na kunisihi niache naombeni mnisamehe, na naomba sasa rasmi nifunge huu mjadala, sitamjibu tena yeyote atakayeniquote kuhusiana na hii mada amani itawale.
![]()
![]()




Shimbaaaa

Hawezi ruhusu wakati wewe ndiyo unawatetea? Kama ni jema hilo jambo ya nini uogope kuzaa shoga?Mungu ni mwema wakati wote ,hawezi ruhusu hilo.
Mzee wa mihelaaAlie karibu na samaki samaki aje tunyonye samakiView attachment 2031902

Mkuu njaa tu, 😁😁😁😁
kwa ninavyomfahamu hawezi sema huo ufala![]()
You are your own worst enemy. If you can learn to stop expecting impossible perfection, in yourself and others, you may find the happiness that has always eluded you!
😀Hiyohiyo chai ya mint na lemon inakufaa kwa kukinga korona
Wow! MashAllah.. jicho jicho
Acha ni download picha kwa matumizi ya badae plus imagination ya mshape 😋😋
Zamu yetu wamama kujipost bado, ngoja mabinti wamalize kwanza![]()