Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

12:28 AM. Goodnight people...let peace and love reign...

Screenshot_20211204-002817_Control.jpg
 
Nini maana ya huo muangalio kwakwe?

Huyu ndo dereva sasa?

Huyu dereva bana anapita vituo ata hasimani?

Mngempa hongera akavimba kichwa
Vituo anasimama ila yuko faster..hakuna kuulaza damu.

Siku nyingine itabidi tumpongeze na hela ya soda maana anayatendea haki yale magari ya UDART.
 
Stress ni mbaya sana


Kuimba nimeanza nikiwa na miaka mitatu,
Ni miaka ,zaidi ya 22 iliyopita,,wala sitegemei kuacha kwa maneno ya takataka moja.


Katika zote,hakuna ramli mpya hapo.
nilishasemaga mie humu JF kna watu wana stress za maisha, wanatafuta Pa kuzitua leo wanajionesha wazi wazi.

Yaan had nmemuonea huruma, alivoishiwa hoja na kuanza kupanick vibaya.

Tuvumiliane.
 
Back
Top Bottom