Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
We niruhusu nije PM tu tumalizane hukoMsukuma naomba leo uselfike nikuone rafiki!!




We niruhusu nije PM tu tumalizane hukoMsukuma naomba leo uselfike nikuone rafiki!!




Hahaa 😂 rafiki weka hapa jamani !! Hata picha tu mpaka pm jamani!!!!???We niruhusu nije PM tu tumalizane huko![]()









Umeenda kuedit 😀😀 original nilisave 😎
Huku kwemaa Mkuu...Kwema kabisa mkuu
Vipi pande hizo Kwema
Usingizi umenigomea aisee ila ngoja nijaribu...wikiendi njema

Ungempa ata mkono wa hongera ili ajue anachofnya kinawakoshaa baadhi ya watu.
Sikuwa na hela mkuu.
Ila dereva wa aina ile huwa nampenda sana hasa kwa safari za asubuhi.
tibitii kalumbuNaona upo jiji letu pendwa
Ya sasahiivi iko wapi?tibitii kalumbu

Ungempa ata mkono wa hongera ili ajue anachofnya kinawakoshaa baadhi ya watu.





Nini maana ya huo muangalio kwakwe?
Ikabidi tulivyoshuka tumuangalie kwanza,,
Yule ndio dereva sasa![]()


hahahahahhaha Kendrick kacheza game mpaka nafika uyole simu haina chajiYa sasahiivi iko wapi?
Ulishindwa kwelii kupiga picha hata moja hapo Uyole![]()




umeamua ujilipue et eeeh? Bas sawa.Vituo anasimama ila yuko faster..hakuna kuulaza damu.Nini maana ya huo muangalio kwakwe?
Huyu ndo dereva sasa?
Huyu dereva bana anapita vituo ata hasimani?
Mngempa hongera akavimba kichwa![]()
Dogo amezingua.hahahahahhaha Kendrick kacheza game mpaka nafika uyole simu haina chaji
Stress ni mbaya sana
Kuimba nimeanza nikiwa na miaka mitatu,
Ni miaka ,zaidi ya 22 iliyopita,,wala sitegemei kuacha kwa maneno ya takataka moja.
Katika zote,hakuna ramli mpya hapo.





nilishasemaga mie humu JF kna watu wana stress za maisha, wanatafuta Pa kuzitua leo wanajionesha wazi wazi. 



