Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

12:28 AM. Goodnight people...let peace and love reign...[emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji42][emoji42][emoji42][emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Screenshot_20211204-002817_Control.jpg
 
Nini maana ya huo muangalio kwakwe?

Huyu ndo dereva sasa?

Huyu dereva bana anapita vituo ata hasimani?

Mngempa hongera akavimba kichwa[emoji23][emoji23]
Vituo anasimama ila yuko faster..hakuna kuulaza damu.

Siku nyingine itabidi tumpongeze na hela ya soda maana anayatendea haki yale magari ya UDART.
 
Stress ni mbaya sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Kuimba nimeanza nikiwa na miaka mitatu,
Ni miaka ,zaidi ya 22 iliyopita,,wala sitegemei kuacha kwa maneno ya takataka moja.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Katika zote,hakuna ramli mpya hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilishasemaga mie humu JF kna watu wana stress za maisha, wanatafuta Pa kuzitua leo wanajionesha wazi wazi.

Yaan had nmemuonea huruma, alivoishiwa hoja na kuanza kupanick vibaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tuvumiliane.
 
Back
Top Bottom