Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hey ladies, mkuwe basi jamani. Yaani uzi mzima mmeuharibu kwa kuleta mada zenu za ushoga embu hayo mambo yenu mkayazungumzie huko PM.

Huu uzi ulikuwa mzuri mmeanza kuuharibu kwa kuingiza mada zenu za ajabuajabu, muwe na aibu basi.
Hata alieanzisha huu uzi hawezi kujiskia vizuri, alianzisha kwa lengo zuri tu lakini sijui inakuaje yanaibuka mambo tofauti na hii ni mara ya pili haya mambo yanachafua hali ya hewa humu.
 
Screenshot_20211203-165057.jpg
 
Hata alieanzisha huu uzi hawezi kujiskia vizuri, alianzisha kwa lengo zuri tu lakini sijui inakuaje yanaibuka mambo tofauti na hii ni mara ya pili haya mambo yanachafua hali ya hewa humu.
Uzi umepoteza mantiki.
Kutofautiana ki-mantiki ni jambo la kawaida na linakubalika,shida kwenye kujenga hoja kila mtu anataka kuonekana mshindi, na ushindi wenyewe hauna tuzo.

Wakati mwingine kukaa kimya pia ni Hekma.
 
Uzi umepoteza mantiki.
Kutofautiana ki-mantiki ni jambo la kawaida na linakubalika,shida kwenye kujenga hoja kila mtu anataka kuonekana mshindi, na ushindi wenyewe hauna tuzo.

Wakati mwingine kukaa kimya pia ni Hekma.
Uko sahihi....uzi unapoteza maana kisa mabishano yasiyo na ulazima wowote.Nadhani Kila mtu abaki na anachoamini hii ya kuanza kulazimishana kuamini mawazo ya mtu mwingine ndio kunatufikisha hapa.
 
Hifadhi nguvu na amani yako kwa matumizi.mengine ya msingi.

Kwanza huu ni uzi wa mapichapicha...wanaotaka kutujazia magazeti ni kupita kama hauoni mtu.

Nani hapa hana dhambi au madhaifu yoyote hadi aanze kuhukumu wengine?

Cha ajabu watu wanataka kushamvuluana jukwaani tena mtandaoni ambapo hata hamfahamiani?
Sehemu ambayo mtu anaamua awe kitu chochote anachotaka yeye.

Hata uraiani mtu hauwezi kuhusika na maisha ya kila mtu...kuna wavuta bangi, walevi, wezi, waongo, wazinzi, wadangaji...orodha ni ndefu. Sasa ukuanza kuhangaika na hao watu si utazeeka kabla ya muda?

Hao wasioelewa achana nao, tupia picha kwanza

View attachment 2031996
Ni kweli mkuu, tuache kuhukumu wengine ilihali hakuna hata mmoja wetu anayeweza kukusimama mbele za Mungu na kusema yeye hana dhambi! Hata Yesu alisema "yeyote ambaye anajiona hana dhambi basi na awe wa kwanza kurusha jiwe kwa huyu mtu", cha ajabu wote wakatulia!

Imeisha mkuu wangu nimekuelewa. Kwa heshima yako na wengine wote ambao wanapenda amani na walikwazika na mabishano yetu na kunisihi niache naombeni mnisamehe, na naomba sasa rasmi nifunge huu mjadala, sitamjibu tena yeyote atakayeniquote kuhusiana na hii mada amani itawale.

 
Back
Top Bottom