Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaaa hata mie ulivyosema tu una sis wako tom boy nikawaza hivyo kuwa mmebadilishana! Anyway i hope hayuko kwa ile society kindakindaki au na yeye ni one of them?
Huyo ni hatari sasa, yaan yuko huko kabisaa, sidhan hata km unaweza mfikia yeye.
 
Dooh yaani bora hata ungesema "mie ndiyo daktari wa wanawake najua ukweli" walau ungeweza kunishawishi ila kumbe ni mwanaume tu? Kwamba ukishakuwa mwanaume tu basi automatically utajua kila kitu kinachohusiana na uzazi kwa mwanamke?
Nikatale ila huo ukweli, ili kuondoa utata uje ofisini kwetu tukupime bure kabisa tukuoneshe position ya kiazi chako 😀😀😀
 
Lunch
C360_20211202-144737-19.jpg
 
Dooh yaani bora hata ungesema "mie ndiyo daktari wa wanawake najua ukweli" walau ungeweza kunishawishi ila kumbe ni mwanaume tu? Kwamba ukishakuwa mwanaume tu basi automatically utajua kila kitu kinachohusiana na uzazi kwa mwanamke?
Nimekumbuka ile meme fulani kipindi cha corona
Inahusu wa kujadili masuala ya Corona,yaani nimejikuta nacheka pekeyangu
 
Back
Top Bottom