Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shuka nyeupe nazipenda sana,

Ndio maana hotelini na hospital wanapendelea. Itakua zinaleta utulivu wa akili na ishara ya usafi pia

IMG_20211101_185028_0.jpg


IMG_20211102_042357_5.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Umenikumbusha mbali sana. Kuna kipindi mvua ilikuwa inanyesha sana...sasa nilikuwa na soksi mpya nyeupe na nilikuwa natamani kuzivaa balaa. Nikaambiwa nivae pundamilia za siku zote mpaka mvua ziishe kwaajili ya matope.

Utoto ulivyo mbaya...nikajiibia pair nikavaa. Zilivyochafuka sasa 🙄🙄 Wakati wa kurudi nikasema hapa cha msingi nizitupe 😁🙈🙈 So nikavua nikatupa kabla sijafika home...alafu nikazuga kama vile sikuwa nimevaa soksi that day!😏😏
View attachment 2028650
St. Kayumba kama St. Kayumba 🙂
Uyo mwenye la kuchumpa la kumpa rama yuko wap sahz 😃😃😃
Mwambie wana jf wanampa salaam
 
Ely Kwa mwanaume imekaaje hii yani sentensi itakaaje mfano mwanaume wangu awe anatomba mwanamke mwingine.. sentensi itakuaje?? " Hakuna kitu inauma kama kujua .................." Hebu malizia hii sentensi

Umefikiria nini mpaka ukauliza hili swali?

Kwa vile mwanaume huwa hat*mbwi, ni wazi hawezi kubebeshwa kauli ya utendwa (kut*mbwa) na utendewa (kut*mbewa). Hapo itakubidi tu useme

"Hakuna kitu inauma kama kujua mwanaume wako anat*mba mwanamke mwingine"
 
Back
Top Bottom