qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
AsanteMrembo sn![]()
AsanteMrembo sn![]()
Miss u baby

Huku kwetu tunamuita chape. Ni jamii ya kolekole anapokuwa mdogo sanaHuyo samaki anaitwaje?
ThanksHuku kwetu tunamuita chape. Ni jamii ya kolekole anapokuwa mdogo sana
Umejuaje mkuu? Mama mwamposa nini? Kabisa Yan nlikua mtukutu halafu back bencher
Mkuu wewe ulikuwa wale watu watukutu shule halafu vipanga ..
Hapo kila mwalimu anakuchapa anavyojisikia.
Kale kafeeling kanakuwepo pale paper yako inapobaki ya mwisho
Unajisikia nani sijui.




malaika eti.Speed test std 7. Hisabati maswali 50, nikajibu maswali 49 swali la mwisho nikaweka signature kwenye jibu. Nikascore 49/50, aisee mwalimu alinitia stiki nyingi akaona ni dharau. Nilipelekwa ofisi ya walimu aisee usiombe ukapelekwa ofisini halafu walimu wakaalikana





Miss u xaan, ulipotea mno kulikoni?Miss u baby![]()
Kuna namna unajiona mwamba sana japo huonyeshi.malaika eti.

Umejuaje mkuu? Mama mwamposa nini? Kabisa Yan nlikua mtukutu halafu back bencher

Kuna namna unajiona mwamba sana japo huonyeshi.
Hapo paper ya kipanga inaanza kuzunguka darasani![]()



huo mtindo ndo walimu wengi wa hisabati wanao, af level zote, yaan anaanza kupokea wa mwisho, mwsho anapokea wa kwanza, ila vile uuaji aseeh.Thubutuuuu!Mbna had we pia n hivyo,![]()