Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣🤣🤣

Umenikumbusha mbali sana. Kuna kipindi mvua ilikuwa inanyesha sana...sasa nilikuwa na soksi mpya nyeupe na nilikuwa natamani kuzivaa balaa. Nikaambiwa nivae pundamilia za siku zote mpaka mvua ziishe kwaajili ya matope.

Utoto ulivyo mbaya...nikajiibia pair nikavaa. Zilivyochafuka sasa 🙄🙄 Wakati wa kurudi nikasema hapa cha msingi nizitupe 😁🙈🙈 So nikavua nikatupa kabla sijafika home...alafu nikazuga kama vile sikuwa nimevaa soksi that day!😏😏
20211130_215323.jpg

St. Kayumba kama St. Kayumba 🙂
 


Umenikumbusha mbali sana. Kuna kipindi mvua ilikuwa inanyesha sana...sasa nilikuwa na soksi mpya nyeupe na nilikuwa natamani kuzivaa balaa. Nikaambiwa nivae pundamilia za siku zote mpaka mvua ziishe kwaajili ya matope.

Utoto ulivyo mbaya...nikajiibia pair nikavaa. Zilivyochafuka sasa Wakati wa kurudi nikasema hapa cha msingi nizitupe So nikavua nikatupa kabla sijafika home...alafu nikazuga kama vile sikuwa nimevaa soksi that day!
View attachment 2028650
St. Kayumba kama St. Kayumba
Hahaha
 


Umenikumbusha mbali sana. Kuna kipindi mvua ilikuwa inanyesha sana...sasa nilikuwa na soksi mpya nyeupe na nilikuwa natamani kuzivaa balaa. Nikaambiwa nivae pundamilia za siku zote mpaka mvua ziishe kwaajili ya matope.

Utoto ulivyo mbaya...nikajiibia pair nikavaa. Zilivyochafuka sasa Wakati wa kurudi nikasema hapa cha msingi nizitupe So nikavua nikatupa kabla sijafika home...alafu nikazuga kama vile sikuwa nimevaa soksi that day!
View attachment 2028650
St. Kayumba kama St. Kayumba
Wewe utakuwa huyo wa katikati Lizzy
 
Back
Top Bottom