Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

walio single, walio nuniana, wenye mahusiano yanayo pumulia oxygen... hawaishi kuchart hapa hata saa tisa za usiku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu wengine hatuna shida za mahusiano,Ila tuko night shift tunatekeleza Sera ya hapa kazi Tu

Tunatumikia taifa
IMG_20211128_011420.jpg


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
walio single, walio nuniana, wenye mahusiano yanayo pumulia oxygen... hawaishi kuchart hapa hata saa tisa za usiku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtoto Depal sasa hivi yupo fofofo,midenda inamtoka shavuni inachafua shuka...Kwa kuawahi kuamka sasa,Kama jogoo[emoji28].Akiamka me ndy najiandaa kwenda kulala

Ila tunaofanya kazi za kukesha tuna maisha magumu sn.Yani mida huu mtu upo macho unaweza kujikuta unazibuliwa vibao vya uso na majini [emoji1787]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi niliona kule kwenye uzi fulani hivi.


Ila mtu kubadilika ni ngumu aisee,,
Tone ya uandishi huwa inakuwa ileile.


Halafu hadi leo nasubiri ile picha nzuri ya sketi ya marinda[emoji3059]
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]ngoja nkuletee nyingine sasa!![emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom