Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552




Mhuuuuu! 🙂Mida ya wanga
Leo unakeshaMhuuuuu!![]()
Mbn Una Sura nzuri Tu mtakatifu!!Unataka ushtuke??
Sura yangu huwa naitumia kutishia watoto wasumbufu.
Beautiful with brain

Mkuu wengine hatuna shida za mahusiano,Ila tuko night shift tunatekeleza Sera ya hapa kazi Tuwalio single, walio nuniana, wenye mahusiano yanayo pumulia oxygen... hawaishi kuchart hapa hata saa tisa za usiku![]()
Mtoto Depal sasa hivi yupo fofofo,midenda inamtoka shavuni inachafua shuka...Kwa kuawahi kuamka sasa,Kama jogoowalio single, walio nuniana, wenye mahusiano yanayo pumulia oxygen... hawaishi kuchart hapa hata saa tisa za usiku![]()
.Akiamka me ndy najiandaa kwenda kulala
Naah. Nshafika home muda si mrefu.🙂Leo unakesha
☺☺☺Beautiful with brain![]()
Aahh wewe tenaKuna mtu jana ananimbia kama mchawi, mda huu unaweza sikia nipo dar kesho ukasikia nipo mwanza![]()




I was about to..kukujia na hii nyingine..![]()




looh!pole sana kuna wale waliojichanganya bwanaa

!!!!It's normal thing humu Jf..Ooh sawa
Kumbe!
Na mimi nikibadili I'd kumbe unaweza kuja tena, na usijue kama ni mtu mmoja.
Mimi niliona kule kwenye uzi fulani hivi.
Ila mtu kubadilika ni ngumu aisee,,
Tone ya uandishi huwa inakuwa ileile.
Halafu hadi leo nasubiri ile picha nzuri ya sketi ya marinda![]()





ngoja nkuletee nyingine sasa!!


Mkuu ungekuwa home hizo crumbs zisingesamehewa hivyo 😂😂Ubao kama Ubao 😕😕😕
View attachment 2024933


