Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 6,807
- 21,424
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhuuuuu! 🙂Mida ya wanga
Leo unakeshaMhuuuuu!
Mbn Una Sura nzuri Tu mtakatifu!!Unataka ushtuke??
Sura yangu huwa naitumia kutishia watoto wasumbufu.
Beautiful with brain
Mkuu wengine hatuna shida za mahusiano,Ila tuko night shift tunatekeleza Sera ya hapa kazi Tuwalio single, walio nuniana, wenye mahusiano yanayo pumulia oxygen... hawaishi kuchart hapa hata saa tisa za usiku
Mtoto Depal sasa hivi yupo fofofo,midenda inamtoka shavuni inachafua shuka...Kwa kuawahi kuamka sasa,Kama jogoo.Akiamka me ndy najiandaa kwenda kulalawalio single, walio nuniana, wenye mahusiano yanayo pumulia oxygen... hawaishi kuchart hapa hata saa tisa za usiku
Naah. Nshafika home muda si mrefu.🙂Leo unakesha
☺☺☺Beautiful with brain
Aahh wewe tenaKuna mtu jana ananimbia kama mchawi, mda huu unaweza sikia nipo dar kesho ukasikia nipo mwanza
looh!pole sana kuna wale waliojichanganya bwanaa!!!!I was about to..kukujia na hii nyingine..
It's normal thing humu Jf..Ooh sawa
Kumbe!
Na mimi nikibadili I'd kumbe unaweza kuja tena, na usijue kama ni mtu mmoja.
ngoja nkuletee nyingine sasa!!
Mimi niliona kule kwenye uzi fulani hivi.
Ila mtu kubadilika ni ngumu aisee,,
Tone ya uandishi huwa inakuwa ileile.
Halafu hadi leo nasubiri ile picha nzuri ya sketi ya marinda
Mkuu ungekuwa home hizo crumbs zisingesamehewa hivyo 😂😂Ubao kama Ubao 😕😕😕
View attachment 2024933